If things are not good at all. what will you do?

If things are not good at all. what will you do?

Naona kweli umependa, limit yourself wakati mwingine, hata kama unaona sio kitu kirahisi. Sasa ulivyopiga mara mia alipokea? Zaidi sana alipiga alipojisikia, baada ya wewe kufwaaa...hahaha!!
Asante kwa kunielekeza ubandidu kwenye mapenzi haha kama utani vile
 
Thanks ila ngependeza zaidi endapo huyo partner tutaefanya nae atakua ni yeye.. Sasa kutafuta mwingine tena argh

Nenda beach (ufukweni) peke yako kama bado haujielewielewi...napenda sana kuangalia maji. Unaweza kufanya hayo unayoshauriwa ukajikuta unaongeza majanga tu. Asikudanganye mtu it takes a lot of courage and energy kujiingiza kwenye mahusiano na mtu, not to mention dhambi na makando kando mengine.

Swali la nje ya mada kidogo, kuna mambo yoyote ya kiuchumi yanakutatiza au hayajakaa sawa? Au kuna kitu ulikua unakitegemea hakijaenda kama ulivyotarajia?
 
Sijaona ulicho quote Ma. Its a brand new day. I hope you feel better.

Have a good one.
I think something went wrong huko kwenye net hata mi nimeona.. I wanted to say it's true we are not along na mwandani yani nimekondaa kwa mawazo
 
Mmh makubwaaa!

Since unajua english download series za sex and the city! Samantha atakuchangamsha!
 
Kama ni kweli upo katika hiyo hali pole sana...Just take advantage of your stress to be A big deal! Iam sure you dont have such stress...Mara nyingi stress anakupa mtu kwa muda mfupi,then unazichochea mwenyewe...
 
Ahaa ok. but I tried harder and harder no avail ni kugeuka nakugeuka tu kitandani akili imechokaa kwa kuwaza wazazi tu bila kusinzia

Hiyo ni hali ya ukinahiwa wa mwili katika mazingira.

Ukihisi hali hiyo, basi ondoka hapo ulipo, tembea tembea nje sehemu iliyotulia kabisa au yenye iliyochangamka Sana.

Pia jaribu kukaa mbele ya kioo, jiambie yale unayo yawaza. Au ongea na mtu umpendae kupitia hicho kioo. Hakikisha kioo kinakuwa kikubwa kinachoweza kuonyesha nusu ya mwili wako.

Alafu unipe majibu.
 
Hiyo ni hali ya ukinahiwa wa mwili katika mazingira.

Ukihisi hali hiyo, basi ondoka hapo ulipo, tembea tembea nje sehemu iliyotulia kabisa au yenye iliyochangamka Sana.

Pia jaribu kukaa mbele ya kioo, jiambie yale unayo yawaza. Au ongea na mtu umpendae kupitia hicho kioo. Hakikisha kioo kinakuwa kikubwa kinachoweza kuonyesha nusu ya mwili wako.

Alafu unipe majibu.
Sante sana
 
Kama ni kweli upo katika hiyo hali pole sana...Just take advantage of your stress to be A big deal! Iam sure you dont have such stress...Mara nyingi stress anakupa mtu kwa muda mfupi,then unazichochea mwenyewe...
It's not funny ujue sitanii am about to die help me
 
Back
Top Bottom