If things are not good at all. what will you do?

If things are not good at all. what will you do?

Sante sana

Penda kuwa dereva na usiwe abiria.

Hiyo ndio kanuni inayoniongoza katika maisha Dadangu.

Ukitumia kanuni hii basi Sonono na hali Kama hizo huwezi kupata.

Unapoanzisha mahusiano hakikisha wewe ndio unaya-kontroli. Kwa vile u mwanamke basi use indirect way of controlling u re relationship. Hakikisha asijue kuwa wewe ndiye unayaendesha hayo mahusiano.

Utawezaje kuwa dereva wa uhusiano?
Ni hivi; hakikisha asilimia kubwa ya furaha katika uhusiano wenu wewe ndiye unachangia. Yaani hiyo huitwa hisa ya furaha katika mapenzi. Isipungue 70% ya mchango wako katika kuongeza furaha ya mapenzi. Hizo 30% mwachie huyo mwenzako.

Hii humaanisha wewe ndio utakuwa mmiliki mkubwa wa furaha katika mahusiano yenu. Halikadhalika ukiwa nyumbani, ofisini au sehemu yoyote.
Siku usipokuwepo basi kwa vile wewe ndio mwenye hisa kubwa katika mahusiano na ndio umeondoka basi pengo lako linaonekana.

Hakikisha wewe ndio unahusika kwa kuanzisha vurugu, malumbano na ugomvi ndani ya mahusiano indirect.

Ujue kufanya uwiano baina ya kuleta furaha na huzuni ndani ya mahusiano.

Hakikisha unachukua hisa kubwa sehemu yoyote ulipo. Hii haitakugharimu kwani mambo yote wewe ndiye unayeratibu.

Lazima ujue kwa mwezi huu utaleta sokomoko gani katika uhusiano wenu na namna gani ya kuimaliza. Lakini lazima utumie indirect way ili mwenzako ndio ajione mwenye hatia.

Ahsante
 
Hello friends,

If you are just t home, alone, stressed, hamu ya kula hamna, usingizi hauji, mkikaa na majirani stori haziendi unajikuta ilimradi upoupo tu uangalie muvi wapi, sikiliza muziki wapi, weka sauti kubwa wapi wewe ni kuwaza na kuwazua tu hupati majibu, pombe hunywi na upo bushi yani you see everything as hell. What else can you do in order to be okay and happy?

Hapo kazini masaa ya kazi yameisha kimagumashi tu you was so boring. Bora kazini walau ulikua bize sasa umerudi kwako and you feel some sorts of fucking shits yani kama kama mizimu si mizimu watu si watu midoli si midoli what are you going to do otherwise it is as if you are going die.

Utafanya nini?
You flirt with somebody,hata kwa simu
 
Uwiii ten years back ndo nilikua katika level hizo can you imagine how old am I??
unajua mpaka hapa ulipofikia tayari umepata jibu........japo mwili wako bado haujalitambua hilo ila nikuhakikishie kwamba ubongo wako umetambua suluhisho la unachotakiwa kukifanya..nacho c kingine bali ni kuperuzi mtandaoni(kuingia jf)..ubongo wako umeamini kwamba kwa tatizo kama hilo unapaswa kuingia jf........basi amini nakwambia tatizo lako tayari linapona maana unafanya kitu ambacho umeagizwa na ubongo wako ......achana na mwili endelea kuperuzi jf maana ndo tiba yenyewe..NB....TRUST
 
Aah,mie nilikushauri usiende huko kijijini,ntakufungulia medium school,ukapuuza,
sasa utaboreka hadi basi
 
Back
Top Bottom