If no dirty tricks, what is wrong with independent tallying for verification?

If no dirty tricks, what is wrong with independent tallying for verification?

Pasco

Unauliza na kushangaa"If No Dirty Tricks, What is Wrong With Independent Tallying For Verification?!."


Haya maswali au mshangao yanaibuka na kuibuliwa kwa sababu tangia chaguzi zinazoshirikisha vyama vingi zilipoanza 1995 NEC haijaweza kujijengea uaminifu na uadilifu kwa umma, kwa wananchi , kwa vyama vya upinzani katika kutekeleza majukumu yake. Vyama vya upinzani na wananchi wanatilia mashaka utendaji na utekelezaji wa majukumu ya NEC. NEC inasifiwa na CCM tu kwa kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi.

Sio siri kuwa NEC inaibeba CCM.

Suluhishi ni kuwa na Tume huru ya Uchaguzi na huwezi kupata au Kuunda Tume huru ya Uchaguzi kwa kutumia Katiba isiyokidhi mfumo wa ushindani wa vyama vingi, Katiba ya 1977 illiyotiwa viraka.

Sasa kama Tanzania inataka kuendelea na amani na utulivu kama baada ya uchaguzi huu itaendelea kuwa hivyo haina tena ujanja wa kuchelesha kuandaa Katiba ya wananchi. Uvumilivu na woga vina ukomo. Wapumbavu na malofa wakichoka upumbavu na ulofa wao amani na utulivu vitaota mbawa.
 
Tukisema ni kutojiamini kwa vyombo husika tutakose? Na mpaka usijiamini lipo unalotenda ambalo hupaswi kutenda. Haingii akilini eti vituo vya baadhi ya vyama vya siasa vya majumuisho ya kura, wanakamatwa na wengine wanaachwa. LHRC pia walikuwa na kituo cha namna hiyo maana wao walikuwa na waangalizi wa ndani field na walituma matokeo, nao wakavamiwa na kunyang'anywa kompyuta zao.
sheria ipo wazi kuwa NEC ndio pekee itamtngaza mgombea aliyeshinda.

hili liinchi hili....upuuzi mwingi na washabiki wake wengiii.
 
Matokeo yalikuwa yanatolewa polepole tangu Jumatatu mpaka Alhamisi. Sielewi kwa nini Chadema walikuwa wanashindwa kusema kuwa idadi ya kura kutoka jimbo fulani siyo sawa. Badala yake walikaa kimya kabisa. Mpaka sasa hawajasema kinagaubaga ni hesabu za majimbo gani ndiyo zenye matatizo. Ni malalamiko ya jumla tu.

Kinachosikika sasa ni kuomba hizo hesabu zifanywe "manually"bila kutumia computer. Nimesikia vilevile kuwa kuna software maalumu ya kufanya majumuisho ya kura na Chadema walileta mpaka wataalamu wao kutoka nje. Huku ni kutaka kudanganya tu wasioelewa. Kweli unahitaji software maalumu au wataalamu hadi wa kutoka nje kufanya majumuisho ya kura? Majumuisho yote yangeweza kufanywa na spreadsheet kama Excel kirahisi tu. Na nadhani nndiyo iliyokuwa inatumika, hata na gazeti la Mwananchi.

Kuhusu kupigika usisahau kuwa Watanzania wengi wamepigika, siyo wafuasi wa Chadema tu.

Umese,a kweli brother. Mmi nilidhani hawa manyumbu akili ingewarudia baada ya uchaguzi kuisha, kumbe bado!!
Ni hivi:
Form ya majumuiyo ya ubunge kwenye majimbo zilikuwa zikihakikiwa sambamba na matokeo ya uraisi kwa kushirikisha wagombea na mawakala wao jimboni. Na wakasaini wote. Sasa matokeo ya uraisi kwa kila jimbo yalikuwa yanasomwa live moja baada ya nyingine na kwa kipindi cha siku 3. Sasa kama kuna discrepancy kati ya form iliyosainiwa jimboni na inayosomwa na Jaji Lubuva kwa nini hawakujitokeza kulalamika? Siku ya kwanza yalisomwa matokeo ya majimbo kama 60 hivi, hakuna aliyolalamika akiwemo Lowassa mwenyewe, sanasana alicholalamikia ni kuwa yanasomwa majimbo tu yale Magufuli anayofanya vizuri!!!. Sasa kuelekea mwisho wa usomaji majimbo ndio anaibuka akiltoa allegations za jumla jumla. Kwa nini asitoe walau form moja kutoka jimboni aka-challenge takwimu za NEC ambazo zimetolewa hadharani?? Au la chadema walishindwaje kutumia gazeti lao la Tanzania Daima kuonyesha walau form moja ya jimbo iliyochakachuliwa?
Niseme tu nasikitika sana watu wanaodhaniwa kuwa wasomi kama Pasco na wengine wanakubali mahaba ya KIJINGA kwa Lowassa kuwapofusha akili zao. Kwa kweli Magufuli ana kazi kubwa katika eneo la elimu
 
that is the problem

but we have a very BIG problem here!!

which is this swali I asked

Hivi raia wa TZ ukikamatwa nchi kama chinna au N.Koreea unafanya talling ya matokeo ya uchaguzi MKUU kwa moja ya vyama vya siasa kwenye nchi zao, unadhani adhabuyake inaweza kuwa ni nini??

Kwa hiyo Tanzania imekuwa kama China na N. Korea?

Mimi nilijua Tanzania ni nchi ya Domokrasi.

Nchi zinaitwa za Demokrasia, vyombo vya habari vinafatilia na kutangaza kwa uhuru na uwazi chaguzi zao. Hapa Tz vipi?

CCN na BBC kwa kawaida huwa na vipindi maalum wanafuatilia uchaguzi katika nchi zao na kufanya projection ya mshindi kulingana na matokeo ya uchaguzi kadiri yanavyotoka, lakini huko huwa hawatoi matokea yanayoashiria Chama kimoja tu kwa siku nzima ndio kinashinda.

Pia huwa na panel discussions kuuchambua uchaguzi kwa upana wake.
 
Toa Ushahidi kwamba wali hack system ya NEC.

Na kwa taarifa yako hauwezi kuhack system ambayo haina Link sharing status ya Information. Savers zinazotumika kutunza matokeo ni storage only na hakuna anywhere unaweza ukaingilia coz hazina public link ya mtu kuweza Ku retrieve info Kutoka kwenye hizo saver.

Nenda kasome IT then urudi na majibu sahihi.
Sijakuelewa fafanua zaidi? Hizo server zipo accessed remotely?? Au? Na je matokeo toka mikoani yanatumwaje? Nifafanulie mtalaalamu wa IT? Mfumo mzima ukoje? Ni client/server architecture.. Client wapo wapi na server zipo wapi? Je ni kwenye geographical regions tofauti?
 
Sidhani kama walikuwa na vituo vingi vya kujumlisha kura kama wanavyojinadi, ingekuwa hivyo wasingenyong'onyea mazima baada ya wale vijana kukamatwa. Nafikiri pia suala la gharama linahusika maana naona hata dakika za lala salama ya kampeni timu zao nyingi zilidorora.
Kazi ya mawakala ni nini?

Watu waliokamatwa wote wamakamatiwa Dar, sasa vituo vingine vya mikoani inakuaje?
Kazi ya kujumlisha kura sio kubwa kama unavyofikiri, mawakala waliosimamia kujumlisha kura majimboni ndio waliokuwa wanatakiwa kuripoti sehemu moja kwa majumuisho wakishajiridhisha na usahihi wa kura.

Kama CDM wangekuwa makini wangeweka vituo vya kujumlishia kura kwenye maeneo tofauti nchi nzima.
 
Kwa hiyo Tanzania imekuwa kama China na N. Korea?

Mimi nilijua Tanzania ni nchi ya Domokrasi.

Nchi zinaitwa za Demokrasia, vyombo vya habari vinafatilia na kutangaza kwa uhuru na uwazi chaguzi zao. Hapa Tz vipi?

CCN na BBC kwa kawaida huwa na vipindi maalum wanafuatilia uchaguzi katika nchi zao na kufanya projection ya mshindi kulingana na matokeo ya uchaguzi kadiri yanavyotoka, lakini huko huwa hawatoi matokea yanayoashiria Chama kimoja tu kwa siku nzima ndio kinashinda.

Pia huwa na panel discussions kuuchambua uchaguzi kwa upana wake.

Unajua kuna watu wanapenda kupotosha ukweli bila sababu. Wanataka dunia ismini uongo wao. Mimi sipo Tanzania kwa sasa lakini niliweza kufuatilia kinachoendelea kwa kusoma tweets za NEC ambazo zipo wazii mpaka leo hio. Vile vile gazeti la Mwananchi online walikuwa wanafanya majumuisho ya data zilizokuwa zinatolewa na NEC tokea Jumatatu hadi Alhamisi. Hakuna ukweli wowote kuwa watu walizuiwa kujumlisha hayo matokeo.

Wanachotakiwa kufanya UKAWA ni kutoa ushahidi kuwa data za majimbo zilizokuwa zikisomwa na NEC zilikuwa na makosa. Huo ndiyo ushahidi kuwa NEC wamepika matokeo. Zaidi ya hapo wakae kimya kabisa na waache kuchafua jina la Tanzania bila sababu za msingi
 
Sidhani kama walikuwa na vituo vingi vya kujumlisha kura kama wanavyojinadi, ingekuwa hivyo wasingenyong'onyea mazima baada ya wale vijana kukamatwa. Nafikiri pia suala la gharama linahusika maana naona hata dakika za lala salama ya kampeni timu zao nyingi zilidorora.

Kabla ya kulaumu nafikiri ni muhimu pia wafanye tathmini ya ndani nini hasa kilitokea, majibu yanaweza saidia sasa na baadae
 
that is the problem

but we have a very BIG problem here!!

which is this swali I asked

Hivi raia wa TZ ukikamatwa nchi kama chinna au N.Koreea unafanya talling ya matokeo ya uchaguzi MKUU kwa moja ya vyama vya siasa kwenye nchi zao, unadhani adhabuyake inaweza kuwa ni nini??

kwani tallying ni nini hata iwe kosa kwasbb mgeni kafanyia tz basi wafungeni MATX wote wanao fanyanya kz TZ
 
Kaka/ mjomba naona mahaba yanakupofua na umeamua kufumbia macho hali halisi. Hii story ya tallying centers isiwe twisted, waliokamatwa wali hack system ya NEC, ni kosa la matumizi mabaya ya mtandao!
Simple and clear, wale wa human rights walikuwa raided pale Mbezi kama tahadhari tu.
Acha porojoo
 
Wanabodi,

Sheria ya uchaguzi imeruhusu vyama vyote kuweka mawakala wake kwenye kila kituo!, matokeo yakitoka kila wakala anapewa anasaini na kupewa nakala yake yenye matokeo halali ya kila kituo, kisha matokeo hayo ndio yanabandikwa vituoni!.

Sasa kuna ubaya gani kama mawakala wayayatuma matokeo hayo kwenye vyama vyao, na vyama vikafanya an independent tallying, ili kuverify matokeo yanayotolewa na NEC ndio matokeo halisi na sii matokeo ya kupikwa?!.

Sheria inatamka ni NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo, lakini sio NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kujumlisha hizo kura!.

Kama vyama kupitia mawakala wake, wote wanazo nakala halisi za matokeo, sasa kuna ubaya gani vyama vikajumlisha, na kuiambia NEC kuwa haya ndio matokeo halisi, sasa hayo ya NEC yanatoka wapi wakati kila chama kina nakala za matokeo halisi ya vituoni?!.

If there is nothing to hide, kwa nini serikali ikawakamata wataalamu wa Chadema wanaofanya independewnt tallying?!.

Japo I smell something fishy!, naomba Lowassa asikilizwe ana hoja za msingi, na kiukweli baadhi ya wafuasi wake, ni watu waliopigika sana kimaisha, the have a very thin line between kuendelea kuishi au kuamua kufa na Lowassa, hivyo at this juncture, Lowassa must be handled with extra care, and if possible contained for the sake of national interests, if let loose na yeye akawacha wafuasi wake to get loose, kuipigania haki yao walioaminishwa imepokwa!, kiukweli Tanzania hapata kalika!.

Pasco



Kama unawashwa vileee..kule kwenye kinyume na maumbilee..
 
Kaka/ mjomba naona mahaba yanakupofua na umeamua kufumbia macho hali halisi. Hii story ya tallying centers isiwe twisted, waliokamatwa wali hack system ya NEC, ni kosa la matumizi mabaya ya mtandao!
Simple and clear, wale wa human rights walikuwa raided pale Mbezi kama tahadhari tu.

"SYSTEM YA NEC"

Hahahahahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahaha
 
Wanabodi,

Sheria ya uchaguzi imeruhusu vyama vyote kuweka mawakala wake kwenye kila kituo!, matokeo yakitoka kila wakala anapewa anasaini na kupewa nakala yake yenye matokeo halali ya kila kituo, kisha matokeo hayo ndio yanabandikwa vituoni!.

Sasa kuna ubaya gani kama mawakala wayayatuma matokeo hayo kwenye vyama vyao, na vyama vikafanya an independent tallying, ili kuverify matokeo yanayotolewa na NEC ndio matokeo halisi na sii matokeo ya kupikwa?!.

You are out of context Pasco,Wakala ni BALOZI au Mwakilishi wa CHAMA. Sasa anapo sign na kukubali kwenye karatasi ya NEC, inamaanisha kuwa CHAMA CHAKO kimekubali. Jifunze maana ya Balozi katkia NCHI.

Sheria inatamka ni NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo, lakini sio NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kujumlisha hizo kura!.
Hakuna SHERIA inayo kuruhusu wewe KUJUMLISHA kura. Hiyo sheria haipo. Wewe kazi yako ni kufanya kazi kwenye kituo chako na kusign ulicho kifanya. Baada ya hapo mwenye HAKI ya kujumlisha kura za WTZ ni NEC. Rejea kwenye katiba ambayo nyie UKAWA mlikuwa hamuifuati bali pigania MATUMBO YENU.

Kama vyama kupitia mawakala wake, wote wanazo nakala halisi za matokeo, sasa kuna ubaya gani vyama vikajumlisha, na kuiambia NEC kuwa haya ndio matokeo halisi, sasa hayo ya NEC yanatoka wapi wakati kila chama kina nakala za matokeo halisi ya vituoni?!.
Mwenye Mamlaka ni NEC na sio CHAGADEMA kuiamrisha NEC. YATAJE Majimbo ambayo NEC imetoa number tofauti na za kwenye JIMBO.

If there is nothing to hide, kwa nini serikali ikawakamata wataalamu wa Chadema wanaofanya independewnt tallying?!.

It is not "IF" it is the rule of law inayo fuatwa. Huwezi kujitungia visheria kisa kumfuraisha FISADI. Ndio maana ni lazima kufuata KATIBA na sio mapenzi ya LISU. Sheria haukurusu wewe kama CHAMA kuhesabu kura na kujumlisha kura. Kama ipo, tuletee hapa tuione.


Japo I smell something fishy!, naomba Lowassa asikilizwe ana hoja za msingi, na kiukweli baadhi ya wafuasi wake, ni watu waliopigika sana kimaisha, the have a very thin line between kuendelea kuishi au kuamua kufa na Lowassa, hivyo at this juncture, Lowassa must be handled with extra care, and if possible contained for the sake of national interests, if let loose na yeye akawacha wafuasi wake to get loose, kuipigania haki yao walioaminishwa imepokwa!, kiukweli Tanzania hapata kalika!.
The Rat is on the other side, pale walipo tumia IT wao kupindisha majibu. Ndio maana kuna kizungumkuti Zenji , hususan Pemba kwenye watu wachache lakini kwenye kura gafla watu wameongezeka zaidi ya mara dufu.


Mr Chin
 
Wanabodi,

Sheria ya uchaguzi imeruhusu vyama vyote kuweka mawakala wake kwenye kila kituo!, matokeo yakitoka kila wakala anapewa anasaini na kupewa nakala yake yenye matokeo halali ya kila kituo, kisha matokeo hayo ndio yanabandikwa vituoni!.

Sasa kuna ubaya gani kama mawakala wayayatuma matokeo hayo kwenye vyama vyao, na vyama vikafanya an independent tallying, ili kuverify matokeo yanayotolewa na NEC ndio matokeo halisi na sii matokeo ya kupikwa?!.

Sheria inatamka ni NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo, lakini sio NEC pekee ndio wenye mamlaka ya kujumlisha hizo kura!.

Kama vyama kupitia mawakala wake, wote wanazo nakala halisi za matokeo, sasa kuna ubaya gani vyama vikajumlisha, na kuiambia NEC kuwa haya ndio matokeo halisi, sasa hayo ya NEC yanatoka wapi wakati kila chama kina nakala za matokeo halisi ya vituoni?!.

If there is nothing to hide, kwa nini serikali ikawakamata wataalamu wa Chadema wanaofanya independewnt tallying?!.

Japo I smell something fishy!, naomba Lowassa asikilizwe ana hoja za msingi, na kiukweli baadhi ya wafuasi wake, ni watu waliopigika sana kimaisha, the have a very thin line between kuendelea kuishi au kuamua kufa na Lowassa, hivyo at this juncture, Lowassa must be handled with extra care, and if possible contained for the sake of national interests, if let loose na yeye akawacha wafuasi wake to get loose, kuipigania haki yao walioaminishwa imepokwa!, kiukweli Tanzania hapata kalika!.

Pasco


Pasco, acha mahaba kwa Lowasa ukweli ni kuwa mambo ya uchaguzi yameshapita na sasa tuangalie mbele mambo ya kusema hapatakalika hizo ni ndoto za alinacha,tulianza kusikia hii misemo kuanzia kule CCM,Watanzania hatupo kwa ajili tu ya kumpa vyeo Lpwassa au kumridhisha Lowassa,una hakika gani kuwa haki yake imepokwa?tafadhali muache ku i blackmail Tanzania na watu wake,asiyekubali kushindwa si mshindani,kama hapatakalikahapaje huyo lowassa atakuja kuongoza miti?ushauri wa bure anzeni kujipanga upya kwa ajiliya 2020 ,nendeni vijijini mukaeleze sera zenu,unapoeleza sera kwa dk 3 na wakati wote upo kwenye mawinguni wananchi watakufahamu vipi na kukuelewa,watu walio mijini ni wachache kuliko walio vijijini sasa mnapopiga kampeni mijini tu matokeo yake ndio hayo,akina Nape na kinana walitumia miaka 2 kutembelea vijijini nyie mnatumie siku 60 na robo tatu mnapita angani.
 
Jadilini hoja.why avoding to discuss the core issue.....independent tallying of the results. It is not the matter of who won the election but independent tallying.tunaogopa nini?kuna sheria inayokataza?
 
Mkuu hapa nakubaliana na wewe 100%. It is as if Ukawa walikurupuka na hawakuwa na mkakati madhubuti wa kuzuia wizi wa kura! Kwa mfano inavyoonekana hawakuwa na plan B baada ya watu wao wa IT kukamatwa. Ingetakiwa wawe na backup centre nyingine ambayo ingeendelea na kazi ya tallying kama kawaida ili Ukawa waweze kujua haraka ni kituo au jimbo gani wamechakachuliwa.! Hapa sasa hivi wanasema matokeo yamechakachuliwa lakini hawako specific ni wapi na kwa kiasi gani. Ni malalamiko ya jumla jumla tu . Too sad!

Tatizo kubwa la Team ya Lowasa ni kutokuwa na Plan B,siku zote huwa anaamini plan A, kama inajulikana CCM wana fitina sana walipaswa kuwa na watu wao wa kujumlisha kura mikoa yote au kila kanda (Kaskazini, Kusini, Ziwa, Mashariki, Magharibi )kitendo cha kuwaweka Dar wote walipokamatwa na Polisi kila kitu kikafa, Licha ya kuwakamata hao watu Polisi walichukua simu na computer zote ambazo zilikuwa zinakusanya hizo taarifa ndio maana wamebaki wanalialia now hawana taarifa ushahidi wowote
 
Mnamshutumu PASCO kama nini kisa malengo yenu yametengemaa....,yupo sahihi na mbishe kwa hoja na sio matusimipasho.
IPO SIKU.
 
Back
Top Bottom