If I had my druthers....

nimefwatilia majibizano yako na huyu my son
nikagundua kuwa Nyani Ngabu
keshakuwa mpumbavu
nilikuwa nukikuheshimu sana ila kwa sasa ww silolote sichochote
 
Kwanini mnawabambika kesi wakosoaji?
 
Sikumbuki kama kuna aliyeachwa!! Aisee,naweza kusema hakuna mpinzani wa wazi wa magufuli ambaye hajashughulikiwa,labda sisi wa huku kichakani JFK tuliojifunika kwa makuti ya fake Id's
Kila apingaye ameadhibiwa?
 
Sikumbuki kama kuna aliyeachwa!! Aisee,naweza kusema hakuna mpinzani wa wazi wa magufuli ambaye hajashughulikiwa,labda sisi wa huku kichakani JFK tuliojifunika kwa makuti ya fake Id's

Wataje...
 
Mwambie Rais awape wananchi hiyo Fursa ya kuunda Serikali utazame maana unachokiongea wewe ni ile habari ya " kama sio mtu fulani tusinge kuwa hapa" ukisahau ya kwamba na wewe ni muhusika. Wapo watu wanaweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…