If God didn't exist why miracles are still happening?

If God didn't exist why miracles are still happening?

Sina shida na imani yoyote amini unavyo amini ili mimi sitaki kuamini Mungu yupo au hayupo , nataka kujua kama utanieleza habari zake .
Sasa kama hutaki kuamini Mungu yupo au hayupo unataka kujua nini
Unaambiwa Yesu alipaa utaamini au utaprove vipi kama alipaa ?
Elia alimuomba Mungu akashusha moto kutoka mbinguni sasa wewe utaamini au utajua kama kweli ulishuka kutoka mbinguni
Usitafute kitu ambacho kitakufanya uwe unahangaika tu bila kupata majibu
Kimsingi kila mtu ana imani ndio maana wewe unaamini kwamba kesho utaamka na utaenda katika shughuli zako sio kwamba unajua

Ungekuwa unataka kujua ungejua siku yako ya kufa
 
Sasa kama hutaki kuamini Mungu yupo au hayupo unataka kujua nini
Unaambiwa Yesu alipaa utaamini au utaprove vipi kama alipaa ?
Elia alimuomba Mungu akashusha moto kutoka mbinguni sasa wewe utaamini au utajua kama kweli ulishuka kutoka mbinguni
Usitafute kitu ambacho kitakufanya uwe unahangaika tu bila kupata majibu
Kimsingi kila mtu ana imani ndio maana wewe unaamini kwamba kesho utaamka na utaenda katika shughuli zako sio kwamba unajua

Ungekuwa unataka kujua ungejua siku yako ya kufa
Sijui kama unanielewa kiongozi? Au nirudie tena kwa herufi kubwa?
 
Sijui kama unanielewa kiongozi? Au nirudie tena kwa herufi kubwa?
Shida umeandaa majibu yako
Ukiambiwa Yesu alipaa mbinguni alifufuka alitembea juu ya maji utaamini au utataka uthibitisho wa miaka 2000 huko nyuma ?
 
Mkuu usijedumbukia kwenye laana ya wasomi uchwara kukufuru Mungu.

Weka imani kwamba Mungu yupo, kataa dini lakini usikatae wala kupuuza uwepo wa Mungu Mwenyezi.
Hili ndio imani sasa, dini sio sahihi, ni organization zilizochukua advantage ya uwepo wa Imani za kuamini Mungu tu. Person to God only
 
Shida umeandaa majibu yako
Ukiambiwa Yesu alipaa mbinguni alifufuka alitembea juu ya maji utaamini au utataka uthibitisho wa miaka 2000 huko nyuma ?
Huwa hata hizo biblia sijui kama huwa mnajua namna ya kuzisoma Kiranga alishaweka huku kitabu cha namna ya kusoma biblia sijui hata kama mnafuatilia kweli.
 
Huwa hata hizo biblia sijui kama huwa mnajua namna ya kuzisoma Kiranga alishaweka huku kitabu cha namna ya kusoma biblia sijui hata kama mnafuatilia kweli.
Usiite usaidizi huyo kashawahi kunikimbia na kaniblock
Inaonekana wewe mgeni humu
Kwani biblia inasomwaje au unaigeuza juu chini
Biblia inasema Yesu alipaa
Ukisoma unavyotaka utasema Yesu hakupaa ila alipanda juu ya mawingu
 
Usiite usaidizi huyo kashawahi kunikimbia na kaniblock
Inaonekana wewe mgeni humu
Kwani biblia inasomwaje au unaigeuza juu chini
Biblia inasema Yesu alipaa
Ukisoma unavyotaka utasema Yesu hakupaa ila alipanda juu ya mawingu
Niite msaidizi kivipi? Nimeshakuambia hayo madude yote sitaki kuyaamini bila uthibitisho na sina tatizo lolote kwenye maisha yangu nililoshindwa tatua , halafu kumbe una akili za ligi?
 
Niite msaidizi kivipi? Nimeshakuambia hayo madude yote sitaki kuyaamini bila uthibitisho na sina tatizo lolote kwenye maisha yangu nililoshindwa tatua , halafu kumbe una akili za ligi?
Kwani nani kawambia nakulazimisha uamini ?
Kama mitahani shule ulikuwa hupati mia juu ya mia usiseme kwenye maisha yako hakuna ulichoshindwa kutatua

Mtu akitaka ligi unampa ligi
Maana nishakwambia tangu mwanzo dini ni imani na imani haina proof ila wewe unakazania unataka kujua
Nakuuliza swali kama unataka kujua unajua utakufa lini ? Au unajua saa saba mchana kutatokea jambo gani hapa Tanzania ?
Unakaa unakaza shingo nataka kujua nataka kujua
Wakati hata hujui kesho ipo vipi
 
Dhana yako kuhusu uwepo wa Mungu inachekesha na kusikitisha mno kwa pamoja.

Unachodai ni kwamba uwepo wa Mungu umfanye mwanadamu awe idle - akae tu bila kufanya lolote?

Kwamba asilime, maana ni kazi - kazi ambayo Mungu hana budi kumfanyia mwanadamu aliyemuumba?

Kwamba asipike, maana Mungu anaweza kumtengea mezani chakula kilichokwishaandaliwa.

Kwamba ^asihangaike^ hata kutafuna chakula, maana Mungu anaweza kumpa mlo ulio tayari unaotakiwa mwilini.

Kwamba hata kusiwe na sababu ya kula, maana Mungu angeweza kumpa mwili tofauti usiohitaji chakula chochote.

Kimsingi unachodai ni kwamba Mungu hayupo kwa vile tu hakumuumba mwanadamu katika namna ile unayotaka wewe!

Wazo lako hili halina tofauti na kudai kwamba Mungu hayupo kwa vile tu silika aliyo nayo haiendani na fikra zako juu ya Mungu.

Yaani, ungependa kumwona ^mungu^ wa namna fulani, na kwa vile mungu wa namna yako hayupo, basi Mungu hayupo!
Kwanza umeandika speculation zako binafsi.

Lakini pia ikiwa kama hoja yako kuhusu "maisha kutowezekana iwapo binadamu kutofanya shughuli yoyote" hoja hiyo ikapimwa na kuthibitika kuwa ni valid, basi itazidi kuthibitisha kuwa Mungu hayupo na stori kumhusu yeye ni uongo.

Kivipi?

Kwasababu stori kuhusu Mungu zinasema kuna maisha baada ya kifo. Ambapo kwenye hayo maisha hakuna shulba za kulima, kupika, kufua wala mahangaiko yeyote.

So nikirudi kwenye hoja yako ni kwamba hukubaliani na hii stori katika uhalisia wake. Kwa maana hiyo mimi na wewe tupo on the same page wote tunapinga habari za Mungu.
 
Kwani nani kawambia nakulazimisha uamini ?
Kama mitahani shule ulikuwa hupati mia juu ya mia usiseme kwenye maisha yako hakuna ulichoshindwa kutatua

Mtu akitaka ligi unampa ligi
Maana nishakwambia tangu mwanzo dini ni imani na imani haina proof ila wewe unakazania unataka kujua
Nakuuliza swali kama unataka kujua unajua utakufa lini ? Au unajua saa saba mchana kutatokea jambo gani hapa Tanzania ?
Unakaa unakaza shingo nataka kujua nataka kujua
Wakati hata hujui kesho ipo vipi
Sitaki kujua kesho ila wewe ukisema Mungu yupo weka uthibitisho yakinifu, ya kuwa Mungu yupo ili na mimi nijue kwa hakika ,kwa sababu kwa hapo sitaki kuamini tu nataka kujua , kipi kiarabu hapo?
 
Watu wakiombewa wanapona mfano Mtu Mwenye kichaa anapelekwa kwenye maombi na anapona kuna utabiri kutoka kwa manabii unafika kwa nabii fulani anakwambia kila kitu chako bila wewe kumwambia chochote those are miracles watu wanaomba wanapata walichokiomba those are miracles mtu aliyelogwa anakuwa salama.
Tofautisha watu wenye vichaa na wenye maigizo ya vichaa.

Maombi yangekuwa yanatibu vichaa walo real basi leo Milembe iisinge kuwepo.
 
Sitaki kujua kesho ila wewe ukisema Mungu yupo weka uthibitisho yakinifu, ya kuwa Mungu yupo ili na mimi nijue kwa hakika ,kwa sababu kwa hapo sitaki kuamini tu nataka kujua , kipi kiarabu hapo?
Nimekwambia ni imani na imani hakuna proof
Swala la Mungu yupo au hayupo ni imani
Ukitaka kuamini fuata kanuni za imani
 
Ww ni mpumbavu ,Mwanadamu ameumbwa na Mwenyezimungu na akampa akili ya kufanya yote hayo unayoita ni Sayansi,
Binadamu ndio amemuumba Mungu kwa mfano wake.

That's why ana components zote za kiutu kama jinsia, emotions nk.
 
Mkuu mbona umeandika past tense badala ya present continuous tense "didn't exist" ni kama alikuwepo alafu hayupo tena ni kama we mwenyewe una taka kusema Mungu hayupo ila alikuwepo hapo zaman.
 
Miujiza ipo Ni halisi kabisa. Mwanadamu Ni mtu wa ajabu sana. Kwa mtu makini kabisa asingeweza kubisha uwepo wa Mungu pasipo kujaribu kuona Kama hili linalosemwa Ni kweli au la!
Mnashindwa na Eva Ni mwanamke lkn alithubutu kula tunda aone Kama tutakufa kweli au la! Na matokeo mnayaona lkn bado mmekaza fuvu.
Shida inaanzia hapo kwenye hayo mnaita “maneno ya mungu”
“mungu” hajawahi kuandika kitabu chochote wala hajamtuma mtu kumuandikia kitabu

Hivi mkuu wewe na akili zako timamu kabisa unaamini Hadithi za Adam na Eva na nyoka anayeongea?
 
Mungu anaendeleza pale tulipoishia. Kwahiyo kama ukiumwa fanya jitihada zako mwenyewe ili uponye ukiona jitihada zako hazijalipa hapo ndo muda wa kumgeukia Mungu na kumuomba.
Kwa hiyo tukubaliane kuwa wale wote waliokufa baada ya kumgeukia Mungu kufuatia jitiihada zao kushindwa.

Ni wazi kuwa walikutana na matatizo ambayo hata Mungu pia yalimshinda?
 
Back
Top Bottom