Ha haaa kwamba Yesu hajui nini kinaendelea hapa duniani kwa sasa? Itakuwa anashangaa huko aliko😃Leo hii yesu na hao mnadai ni mitume wakafufuka wakakuta teknologia ilivyo kubwa kwa sasa watashangaa sana na kuona ni miujiza ya kutisha.
Akipata kanafasi kakufufuka akija atashangaa sana ina kuaje kuaje dege linapaa angani na abiria zaidi ya 200.Ha haaa kwamba Yesu hajui nini kinaendelea hapa duniani kwa sasa? Itakuwa anashangaa huko aliko😃
Ulishawahi kushuhudia kichaa unayemfahamu ameombewa akapona?Watu wakiombewa wanapona mfano Mtu Mwenye kichaa anapelekwa kwenye maombi na anapona kuna utabiri kutoka kwa manabii unafika kwa nabii fulani anakwambia kila kitu chako bila wewe kumwambia chochote those are miracles watu wanaomba wanapata walichokiomba those are miracles mtu aliyelogwa anakuwa salama.
Yesu yu hai, alishafufuka kitambo. Afufuke mara ngapi?Akipata kanafasi kakufufuka akija atashangaa sana ina kuaje kuaje dege linapaa angani na abiria zaidi ya 200.
🤣🤣🤣🤣 Emergency endapo ikiwa God amelalaUnaelezeaje ambulance ambazo zinapaki Makanisani na misikitini, huwa zinatafuta nini maeneo hayo kama kweli miujiza ipo?
Hadith za alfa lelu u lea za kina nurdin na wale viwete 8.Yesu yu hai, alishafufuka kitambo. Afufuke mara ngapi?
Toa fact zakoUnajua humu mnapenda kubishana ujinga sana
Swala la Mungu yupo au hayupo ni imani
Unaweza ukaamini Mungu yupo pia unaweza ukaamini Mungu hayupo
Hizo zote ni imani hakuna fact
Ni kweli alifufuka , baadae akapaa mbinguni kwa baba yake (Mungu). Yu hai ni mzima kabisa.Hadith za alfa lelu u lea za kina nurdin na wale viwete 8.
Motivation za kiimani tuNi kweli alifufuka , baadae akapaa mbinguni kwa baba yake (Mungu). Yu hai ni mzima kabisa.
Ndio ujinga uliopo jf kwenye masuala ya Imani.Unajua humu mnapenda kubishana ujinga sana
Swala la Mungu yupo au hayupo ni imani
Unaweza ukaamini Mungu yupo pia unaweza ukaamini Mungu hayupo
Hizo zote ni imani hakuna fact
Faith is believingToa fact zako
Mungu anaendeleza pale tulipoishia. Kwahiyo kama ukiumwa fanya jitihada zako mwenyewe ili uponye ukiona jitihada zako hazijalipa hapo ndo muda wa kumgeukia Mungu na kumuomba.Mfano mmoja wa uthibitisho wa huo muujiza ni upi?
Unaelezeaje zile fire extinguisher ambazo zipo kwenye makanisa na misikiti? Zipo kwa ajili ya kufanya nini kama miujiza ipo?
Unaelezeaje ambulance ambazo zinapaki Makanisani na misikitini, huwa zinatafuta nini maeneo hayo kama kweli miujiza ipo?
Unaelezeaje situation ya Pop kuumwa na kufanyiwa matibabu ya kisayansi ikiwa kama kweli miujiza ipo?
Watu wanaoamini Mungu yupo kila siku wanahamasisha uwepo wa Mungu na kuhubiri injili yake ,wakiwata watu wafuate , sasa watu wanahoji uthibitisho wa uwepo wake ili wafuate kitu kilichopo kweli na sio kufuata kama vipofu tu, na kila dini ina Mungu wake na kila mtu anadai wakwake ni bora zaidi , lazima watu wapime na kupata hakika.Ndio ujinga uliopo jf kwenye masuala ya Imani.
Ndio sana tuUlishawahi kushuhudia kichaa unayemfahamu ameombewa akapona?
Hapa hujatumia akili au hujui kujenga hoja. Hata ambaye haamini kuna Mungu ataona hamna logic. Kwa hiyo kwa kuwa watu wanaamini kuna Mungu basi hata tahadhali wasichukue na akili walipewa?Mfano mmoja wa uthibitisho wa huo muujiza ni upi?
Unaelezeaje zile fire extinguisher ambazo zipo kwenye makanisa na misikiti? Zipo kwa ajili ya kufanya nini kama miujiza ipo?
Unaelezeaje ambulance ambazo zinapaki Makanisani na misikitini, huwa zinatafuta nini maeneo hayo kama kweli miujiza ipo?
Unaelezeaje situation ya Pop kuumwa na kufanyiwa matibabu ya kisayansi ikiwa kama kweli miujiza ipo?