If God didn't exist why miracles are still happening?

If God didn't exist why miracles are still happening?

Kwanini dini ni utapeli?
Ukiendekeza dini mkuu there's nothing you'll do dini Inaturestrict sana kwenye mambo mengi kumwanzia kuthink and much more pia dini hii imetengeneza utofauti kati ya watu mfano ukristo na uislam kama lengo letu ni njia za kumfikia mwenyezi Mungu why having multiple ways instead of single way
 
draga
Mkuu naomba unionyeshe umbo la upepo
Na uniambie initial material iliyotumika ku create upepo.
 
Sipo katika mdahalo wa kujadili mitazamo binafsi. Kama nimeeleweka hivyo basi ni wazi kuwa umenielewa vibaya.

Huu ni mjadala, na mjadala unakuwa na sheria zake.

Nachofanya mimi ni kukukumbusha kanuni za mjadala ili uweze kujenga hoja katika misingi sahihi inayokubalika.

Kama tutaweza kupuuza hizo kanuni kwa hoja irrational "mtazamo wako" basi ni fact kwamba hutoshi kushiriki mijadala kama hii licha tu ya kupima wepesi wa hoja zako ulizo wasilisha.
Siwezi kushiriki mdahahalo pia ni mtazamo wako
Maana huyo Mungu unayesema hayupo ni Mungu yupi ?
Kuna Wahindi mungu wao ni ng'ombe utasema mungu wao hayupo wakati unaona kabisa hiyo ni ng'ombe
Kuna wale mungu wao ni Buddha nao utasema hayupo
Kwanza useme Mungu unayesema hayupo ni Mungu yupi ?
Then nifunguwe darasa hapa
 
Ni muujiza kwasababu isingekuwa ni muujiza wataalamu wa afya na wengine wangeweza kusolve muda mrefu sana haya matatizo lakn kwann kwa Imani yanakuwa solved means that through miracles Kuna matatizo Supernatural power inasolve
Kwa hiyo matatizo yote ambayo wataalamu hawakuweza kuyatatua kwa maelfu ya miaka, wameweza kuya solve hivi karibuni, yalikuwa miujiza kwa miaka yote hiyo ambayo hayakuweza kuwa solved?

Tuchujue mfano.

Wataalam wa afya hawakugundua antibiotic za kuua bactwria mpaka mwaka 1928. Madawa haya yalikuwapo lakini hayakujukikana rasmi kisayansi.

Sasa, watu wangekunywa mitishamba tu na kupona, kwa sababu mitishamba hiyo ina antibiotics, ungesema huo ni muujiza?
 
Umejuaje hayupo ?
Unaposema fact maana yake umefanya utafiti na umejiridhisha wewe na watu wengine
Sasa utafiti hujafanya na unaiita fact

Ndio maana nakwambia hiyo ni opinion sio fact
Kama kuna utafiti umefanya niambie
Uthibitisho wa kitu ambacho hakipo ni kutokuwepo kwake.... hii ni FACT

Mkuu tuishi na hii.... haya mambo ya supernatural ni IMANI na sio FACT
 
Uthibitisho wa kitu ambacho hakipo ni kutokuwepo kwake.... hii ni FACT

Mkuu tuishi na hii.... haya mambo ya supernatural ni IMANI na sio FACT
Sasa tangu mwanzo nasema Mungu yupo au hayupo ni imani sasa ww ndio unasema sasa hv
Hivi mnasomaga au mnaandika tu
 
Sasa tangu mwanzo nasema Mungu yupo au hayupo ni imani sasa ww ndio unasema sasa hv
Hivi mnasomaga au mnaandika tu
Mungu kuwepo ni IMANI
Mungu kutokuwepo ni FACT

Tuishi na uwepo wa Mungu ni wa kiimani
 
Japo tukubaliane kwamba religion ni "biggest scam" na inatulimit sana kwenye mambo mengi lakini supernatural power (God) exist. If he didn't exist where are this miracles we see coming from!
I see no miracles but oracles and abracadabra everywhere. The miracle I know is when conmen and conwomen dupe fools that they can perform miracle.
 
Shida inaanzia hapo kwenye hayo mnaita “maneno ya mungu”
“mungu” hajawahi kuandika kitabu chochote wala hajamtuma mtu kumuandikia kitabu

Hivi mkuu wewe na akili zako timamu kabisa unaamini Hadithi za Adam na Eva na nyoka anayeongea?
Sio hadithi mkuu huo Ni uhalisia. Unapojaribu kupinga maana yake unataka kutuaminisha usemayo wewe ndio kweli. Hebu onyesha huo ukweli wenyewe kwa hoja nzito kuliko zile za adamu na Hawa. Nasi tukuamini.
 
Back
Top Bottom