If bunge sessions were to be conducted in english!

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani
 
lusinde na profesa maj marefu just to mention the few wasingeongea mwanzo hadi mwisho wa bunge
 
Hata kwa mawaziri wetu wengine wangebaki kuwa kimya kama mabubu bila ya kujibu hoja za wabunge
 
Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani

1. Parliamentary session will be for minority citizens for the fact that most of our people do not speaks English.
2. There will be contradictions between the members of the parliaments themselves, since many of them were seems idiot (such as Livingstone, Ngonyani, Airo etc just to mention few).
 
1. Parliamentary session will be for minority citizens for the fact that most of our people do not speaks English.
2. There will be contradictions between the members of the parliaments themselves, since many of them were seems idiot (such as Livingstone, Ngonyani, Airo etc just to mention few).

Can anybody come up with an imaginary presentation or a simple question being asked by Prof TALL WATERS pleeease?
 
English si kigezo cha hekima. Hayo ni mawazo yasiyojenga. Mbona hamtaji wabunge wa vyama vingine walioishia middle school kama makamu mwenyekiti wa chama fulani
 
Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani

Nadhani bunge lingekuewa na displini kidogo kwa vile kusingekuwa na zomea zomea ya kijinga.

English si kigezo cha hekima. Hayo ni mawazo yasiyojenga. Mbona hamtaji wabunge wa vyama vingine walioishia middle school kama makamu mwenyekiti wa chama fulani

Ni kweli; ujuvi Lugha siyo kipimo cha hekima, lakini kwa vile sheria zetu zinaandikwa kwa kiingereza, ingekuwa ni vizuri pia zikajailiwa na bunge kwa kiingereza. Mwaka jana au mwaka juzi tuliona nakala mbili za bajeti zikiwa hazifanani kabisa, moja ya kiswahili ikiwa inadai matumizi ambayo hesabu yake ilikuwa ni chini ya ile nakala ya kiinmgereza ambayo ilipelekwa kwa wafadhili.
 
Zingerudi zile enzi za bunge la kwanza baada ya uhuru. Mmoja aliuliza, Mr Speaker Sir, there is no power in the bottles at Magomeni. Akiwa na maana hakuna taa za barabarani Magomeni
 
Tatizo lingekuwa kwa sisi wananchi wa kawaida kuelewa nini kinaendelea. Hali ingekuwa mbaya sana..hata hoja zinazotolewa na mbunge wetu kutututetea tusingezielewa..tungeishia kukodoa kodoa macho.
 
Tatizo lingekuwa kwa sisi wananchi wa kawaida kuelewa nini kinaendelea. Hali ingekuwa mbaya sana..hata hoja zinazotolewa na mbunge wetu kutututetea tusingezielewa..tungeishia kukodoa kodoa macho.

Mbona Kenya wanaendesha kwa kiingereza ina maana wakenya wengi wanaambulia patupu ukiacha wasomi
 
English si kigezo cha hekima. Hayo ni mawazo yasiyojenga. Mbona hamtaji wabunge wa vyama vingine walioishia middle school kama makamu mwenyekiti wa chama fulani

Kinachozungumziwa ni wabunge kuonge kiingereza, So inawezekana akawa ameishia middle school na akajua kuongea english vizuri
 
enyi watanzani msiokuwa na akili ni nani aliyewaroga ya kwamba kujua kiinngigereza ndiyo kuwa na hekima busara na elimu ya hali ya juu? kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kiswahili na si kila anaejua kiingereza basi ndiyo mweye elimu ya kutosha! mfano mzuri hapahapa jf kuna mtu mmoja huwa anaandika kiingereza kizuri sana lakini anachochangia mara nyingi huwa pumba tupu!
 
enyi watanzani msiokuwa na akili ni nani aliyewaroga ya kwamba kujua kiinngigereza ndiyo kuwa na hekima busara na elimu ya hali ya juu? kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kiswahili na si kila anaejua kiingereza basi ndiyo mweye elimu ya kutosha! mfano mzuri hapahapa jf kuna mtu mmoja huwa anaandika kiingereza kizuri sana lakini anachochangia mara nyingi huwa pumba tupu!

Hujaelewa.Tatizo siyo akili na hekima.Tatizo wengi hawaiju vizuri hiyo lugha.Sasa hata kama unahekima kama mfalme Suleiman halafu ukaambiwa utupe hizo hekima zako kwa lugha usiyoifahamu utaweza mkuu?
 
enyi watanzani msiokuwa na akili ni nani aliyewaroga ya kwamba kujua kiinngigereza ndiyo kuwa na hekima busara na elimu ya hali ya juu? kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kiswahili na si kila anaejua kiingereza basi ndiyo mweye elimu ya kutosha! mfano mzuri hapahapa jf kuna mtu mmoja huwa anaandika kiingereza kizuri sana lakini anachochangia mara nyingi huwa pumba tupu!

Hahahaaaa chenkyuuuu. Watanzania mpaka tufike kazi ipooooo!
 
Back
Top Bottom