If bunge sessions were to be conducted in english!

Hapa ndo naonaga sisi watz ni wapumbavu kwahiyo mtu akiongea english mnamuona kichwa shame on u'ndo maana tutabaki maskini hadi tunakufa'jiulize wachina wanatumia lugha gani?
 
KWA MAZINGIRA KAMA HAYO NADHANI TUTAWEZA KUPATA MISWADA NA SHERIA BORA ZAIDI ZISILAZIMISHA WATU KUZIBADILI HATA KABLA YA KUANZA KUTUMIKA

Nafasi zingekua ni nyingi sana kwa wabunge wachache wenye kuweza kukichapa Ug'eng'e vizuri huko huku akina Iddi Azan, Prof Majimarefu, Lucy-Nde wa Mtera, na wengine wengi wa aina yao wakibaki tu kutumbua macho wakijionea tu kama vile kipindi cha burudani cha Afrika Bambataa huku wengine kama Kapteni Komba na Mhe Maneno wa Chalinze wakisonya msululizo na kuzungusha midomo yao kama ishara ya kutokubali kushindwa.

Na kuna vile vile wakiongezea tena kanuni nyingie kwamba Mhe Mbunge ataruhusiwa tu kupigia kura hoja zile tu alizozichangia walau kwa sentensi zisizopungua kumi, kuna uwezekano mkubwa sana watu tukapa miswada na hatimaye sheria za ki-weledi zaidi zisizolazimisha wa kuzibadilisha hata kabla ya kufikia hatua ya kutiliwa sahihi kuwa sheria ya nchi.
:A S embarassed:
 
English si kigezo cha hekima. Hayo ni mawazo yasiyojenga. Mbona hamtaji wabunge wa vyama vingine walioishia middle school kama makamu mwenyekiti wa chama fulani


Huna uhakika ndiyo maana hujataja jina la chama! After all the issue is not about the part ism, the issue is about parliamentary session, and the debate will be benefited by just minority Tanzanians. many of our people are not prepared!
 
1. Parliamentary session will be for minority citizens for the fact that most of our people do not speaks English.
2. There will be contradictions between the members of the parliaments themselves, since many of them were seems idiot (such as Livingstone, Ngonyani, Airo etc just to mention few).

Kwa kweli huko bungeni kutakuwa vituko vya mwaka. Na hii haina tofauti na kiingereza hiki hapa juu. Ilikuwa ni lazima uteme ngele yenye makengeza mzee? sasa hao unaowasema mbona wanafanana tu na wewe. Hicho ulichoandika ni 'kilowassa', siyo kiingereza!
 
enyi watanzani msiokuwa na akili ni nani aliyewaroga ya kwamba kujua kiinngigereza ndiyo kuwa na hekima busara na elimu ya hali ya juu? kiingereza ni lugha tu kama ilivyo kiswahili na si kila anaejua kiingereza basi ndiyo mweye elimu ya kutosha! mfano mzuri hapahapa jf kuna mtu mmoja huwa anaandika kiingereza kizuri sana lakini anachochangia mara nyingi huwa pumba tupu!

Acha ku-sound biblical na kupotosha mada hapa. Swali hapa ni je, ikiamriwa wabunge waongee kingereza hali itakuwaje? Wote hapa tunajua kwamba kiingereza ni 'vessel' tu ya kufikisha ujumbe lakini hoja hapa ni kwamba itakuwaje amri hiyo ikitolewa. Wewe vipi?
 
Acheni fikra zakitwana bana Kiingereza ni kitu gani si lugha kama nyingine duniani?



Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani
 
By CHUACHAKARA Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani
my take this is crap based on colonial mentality embraced with inferiority complex
 
Nadhani mipasho na vijembe vya wale wabunge wa chama tawala vingepungua sana kama siyo kwisha kabisa.
 
yule bibi wa mbele mbona angedata,
Anna: lissu anaza extra question ......................

Anna; Mr Wassira answer ze question of Mr Liisu
Wassira; .........................
Anna; Toll water anaza question
Ngonyani: Mr Spika(watu wanacheka wanamwambia huyo ni madam) sorry Mr madamu (watu wanachaka tena Lusinde anamwabia sema Mrs spika) .............inabidi mjadala uchange to swahili
 
English si kigezo cha hekima. Hayo ni mawazo yasiyojenga. Mbona hamtaji wabunge wa vyama vingine walioishia middle school kama makamu mwenyekiti wa chama fulani

taja wewe, kwani kuna mwenye jukumu la kutaja?
 
Hapa ndo naonaga sisi watz ni wapumbavu kwahiyo mtu akiongea english mnamuona kichwa shame on u'ndo maana tutabaki maskini hadi tunakufa'jiulize wachina wanatumia lugha gani?

mkuu, nakuunga mkono: ni ulimbukeni kufikiri kuwa mtu anayeongea Kiingereeza ndiye mwenye ufahamu mkubwa: kiingereza ni sawa na lugha ya Kisukuma, Kihaya au Kimasai tu, na huyo mtoa mada kwa vile amepitia English Course za mitaana akajua walau kusalimiana asitarajie Serikali inaweza kufanyia hoja yake. Ni vizuri kwa sasa kila mtu kujua Lugha zaidi ya moja lakini si kigezo cha kumtambulisha uwezo wake.
.
 
Wana JF, think of a situation ikatungwa sheria kuwa mijadala ya bunge iendeshwe kwa kiingereza, kitatokea nini bungeni????? Nauliza jamani

If Bunge sessions were conducted in English the result could be positive. Even the ongoing constitutional bill process could end up with mutual understanding. The problem those too much"learned" have been too vocal comparing to those like Tindu Lisu.
 
1. Parliamentary session will be for minority citizens for the fact that most of our people do not speaks English.
2. There will be contradictions between the members of the parliaments themselves, since many of them were seems idiot (such as Livingstone, Ngonyani, Airo etc just to mention few).

Mzee pole, Kiingereza chako kibovu sana. Nenda pale British Council wakusaidie. Wiki kumi tu mwenyewe utanyooka.
 
Back
Top Bottom