PreGE2025 Idris Sultan kuja na documentary ya 'Tanzania ya Samia'

PreGE2025 Idris Sultan kuja na documentary ya 'Tanzania ya Samia'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,397
Reaction score
14,505
Msanii wa Filamu na Mwanamitindo Maarufu Nchini Tanzania ametangaza ujio wa Tamasha la Rangi Zinaongea litakalo fanyika Tarehe 23/05/2025 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na kuionesha nembo ya Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ambapo itakuwa ni pamoja na kuonyesha Makala fupi inayo onyesha uzuri wa Nchi ya Tanzania na Vivutio vyake ambapo wameipa jina la Tanzania ya Samia.

 
Acha wapige pesa kwa jina la Samia, ndio muda wa upepo huu, ukishapita haujirudii tena...

Hapa JF ikiwezekana naomba Melo anipe shavu niandae tamasha la JamiiSamia...
 
Wadau,

Msanii wa Filamu Idris Sultan ametangaza rasmi ujio wa tamasha lake la rangi zinazazoongea litakalofanyika tarehe 23/05/2025 Mlimani City Jijini Dar es salaam.

Akizungumza na waandishi wa Habari, Sultani amesema uzinduzi huo utaambatana na makala fupi itakayoonyesha uzuri wa nchi ya Tanzania pamoja na vivutio vyake vyote ambapo makala hiyo ameipa jina la Tanzania ya Samia

 
Aibu sana hata Kwa Samia mwenyewe kuchakaza mipesa namna hii
 
Chawa Kwenye Ubora Wake Ni Mwendo Wa Kula Kwa Urefu Wa Kamba Ako ,,,
 
Back
Top Bottom