Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,397
- 14,505
Msanii wa Filamu na Mwanamitindo Maarufu Nchini Tanzania ametangaza ujio wa Tamasha la Rangi Zinaongea litakalo fanyika Tarehe 23/05/2025 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na kuionesha nembo ya Tanzania nje ya mipaka ya Tanzania ambapo itakuwa ni pamoja na kuonyesha Makala fupi inayo onyesha uzuri wa Nchi ya Tanzania na Vivutio vyake ambapo wameipa jina la Tanzania ya Samia.