Ilianza kwa Gray Mgonja, yeye alistaafu!!! ( au alistaafishwa kimyakimya!!!) wiki chache baada ya kustaafu,akaburuzwa kortini kufuatia scandal la Alex Stewart!!!
Leo, magazeti yametoa tangazo la nafasi ya Managing Director, TANESCO- Nafasi ambao inashikiliwa na Idris Rashid!!!
Hata hivo, kwa mujibu wa gazeti la Dar Leo, management ya TANESCO haina taarifa juu ya tanazo hilo la nafasi ya kazi lililotolewa na Bodi ya TANESCO!!!
Sasa hii inaashiria nini kwa Comrade Idris Rashid? Au ndo safari ya kuelekea Kisutu kujibu tuhuma za Radar Scandal ipo njiani?
Leo, magazeti yametoa tangazo la nafasi ya Managing Director, TANESCO- Nafasi ambao inashikiliwa na Idris Rashid!!!
Hata hivo, kwa mujibu wa gazeti la Dar Leo, management ya TANESCO haina taarifa juu ya tanazo hilo la nafasi ya kazi lililotolewa na Bodi ya TANESCO!!!
Sasa hii inaashiria nini kwa Comrade Idris Rashid? Au ndo safari ya kuelekea Kisutu kujibu tuhuma za Radar Scandal ipo njiani?