IDF yashumbilia kanisa katoliki Gaza

IDF yashumbilia kanisa katoliki Gaza

ibrah0102

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
455
Reaction score
759
Jeshi la Israel (IDF) lashutumiwa kwa kulenga kanisa kwa makusudi

Kardinali Pierbattista Pizzaballa amesema:

“Tunachojua kwa hakika ni kwamba tanki — IDF wanasema kwa bahati mbaya — lakini sisi hatuna uhakika, lilipiga moja kwa moja Kanisa la Familia Takatifu, Kanisa la Kilatini.”

Kanisa hilo lilikuwa sehemu ya hifadhi ya raia waliokuwa wakikimbia mashambulizi huko Gaza.

Ifahamike kua Palestine kuna Wakristo wengi kuliko Israil, wakristo hao ni Sehemu ya wahanga wa Mauwaji yanayo sababishwa na Utawala Vamizi wa Walowezi wa kiyahudi Katika Miji ya Palestine.

Wale wanao shabikia bila kufahamu kua Israel wao hawathamini chochote hata kama utakua Upande wao na kuwaona Ni bora kuliko wewe na kizazi chako bado Sio sababu ya wao kuacha kuuwa au kuharibu Nyumba zenu za Ibada.

Kwenye maoni ya kwanza utalioni kanisa hilo kabla ya uharibifu uliotokana na Shambulio la makusudi, Wakristo wa Palestine pamoja na Italy wamelaani vikali Shambulio hilo walilo liita la makusudi.

Yapi maoni yako
 

Attachments

  • 20250718_221419.jpg
    20250718_221419.jpg
    140 KB · Views: 19
  • 20250718_221415.jpg
    20250718_221415.jpg
    102.8 KB · Views: 18
Kwanini mkuu una support mauwaji inasemekana wawili wamekufa na baadhi wamejeruhiwa vibaya sana
Ilo n taifa teule lina mamlaka ya kupiga kila kitu iwe kanisa ama msikiti wamepata kibali kama taifa teule kuangamiza makanisa na misikiti yote hapo ukanda wa gaza
 
Ilo n taifa teule lina mamlaka ya kupiga kila kitu iwe kanisa ama msikiti wamepata kibali kama taifa teule kuangamiza makanisa na misikiti yote hapo ukanda wa gaza
Taifa teule ndio lilipue nyumba za Ibada ? Mbona bado una ukakasi mwingi kichwani mwako!
 
Jeshi la Israel (IDF) lashutumiwa kwa kulenga kanisa kwa makusudi

Kardinali Pierbattista Pizzaballa amesema:

“Tunachojua kwa hakika ni kwamba tanki — IDF wanasema kwa bahati mbaya — lakini sisi hatuna uhakika, lilipiga moja kwa moja Kanisa la Familia Takatifu, Kanisa la Kilatini.”

Kanisa hilo lilikuwa sehemu ya hifadhi ya raia waliokuwa wakikimbia mashambulizi huko Gaza.

Ifahamike kua Palestine kuna Wakristo wengi kuliko Israil, wakristo hao ni Sehemu ya wahanga wa Mauwaji yanayo sababishwa na Utawala Vamizi wa Walowezi wa kiyahudi Katika Miji ya Palestine.

Wale wanao shabikia bila kufahamu kua Israel wao hawathamini chochote hata kama utakua Upande wao na kuwaona Ni bora kuliko wewe na kizazi chako bado Sio sababu ya wao kuacha kuuwa au kuharibu Nyumba zenu za Ibada.

Kwenye maoni ya kwanza utalioni kanisa hilo kabla ya uharibifu uliotokana na Shambulio la makusudi, Wakristo wa Palestine pamoja na Italy wamelaani vikali Shambulio hilo walilo liita la makusudi.

Yapi maoni yako
Poleyao mazezeta mipumbavu utasikia ukiwaombea waisrael nawao wanakuombea !!!

Wakristo wanauwawa kikatili wangine wanageuzwa viwete na waisrael uko Gaza nyinyi uku Akili mmeshikiwa na Wachungaji Fake wakusanya Sadaka unategemea anakwambia nini zaidi ya kukujaza ushuzi kichwani nawewe ukimpa mipesa .

Mchungaji FAKES muislam ndio adui ya MKRISTO¡¡¡ ¿¿¿¿

ukija kwenye ukweli Wakristo wanaishi kwa Aman na waislamu wakishilikiana kama ndugu 1 !!!

na waisrael ndio adui yao mkuu kwapamoja!!!!!

Mchungaji FAKES muwaombee waisrael nawao watawaombea !!!!

mizwazwa vigelegele kanisani !!!!!!
kutoka hapo Mchungaji anakusanya pesa akizita Sadaka ya Bwana japo zake yeye mana matumizi anajua yeye !!!!

Wakristo wa mashariki ya kati wakija Tanzania Bahati mbaya nawao waenda kufanya Ibada ndio watatapika kabisa kusikia Ushuzi kutoka kwenye kinywa cha Mchungaji w ktz !!

Wakristo wa waislamu Gaza wanapambana pamoja na Adui katili sana waovu mashetani wabaya !!

sasa wamevuka nguo nzuri za wanawaisrael ¿¿¿¿ waliojipachika heshima hisio yao ya U Israel !!

uku wakifanya mambo ya kishetani ikiwemo Usodoma zambi mbaya kwenye vitabu vitakatifu vyote na kuwauwa Wakristo waislamu wanaokemea zambi za Usodoma!!!

Uku wao wanajiita taifa teule !! Na michungaji imewaamini kwasababu za kutafuta pesa sio Mungu ndiomana Wachungaji wengi ukiwachunguza nawao waovu tu wanazambi kibao wanzizi sana !!

sisi tunajua waisrael awa ni FAKES wangekuwa OG wasingefanya maovu kama ya Usodoma ndiomana waislamu na Wakristo wapo kwenye Vita nao.. !!

kukomboa maeneo matakatifu kwasasa yameshikiliwa na waovu wapinga Mungu mashoga yakwenda kufungia ndoa kwenye maeneo matakatifu zaidi waislamu Wakristo wote wanapinga kufanyika ili

wapo kwenye Vita ya Damu zao kwaajili yetu sote,.
 
Hiyo siyo vita ya kidini Bali ni vita kati ya watu waliostarabika na wale wasiostarabika unaweza kuwa mkristo na ukawa hujastaarabika kwahiyo utapigwa tu
 
Back
Top Bottom