wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Baada ya kuwaudhi watu ndani ya CCM na wao kumuandalia mpango kabambe wa kumfilisi baada ya ile skendo ya UDA kuna tetesi zimeenea hapa mjini kuwa IDDI SIMBA yuko mbioni kuhamia CHADEMA
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!
narudia hizi ni tetesi lakini kama mtu Iddi Simba leo akihamia CHADEMA naamini kuwa yale mashamba yooote yaliyopo ngara aliyowauzia wamarekani yatarudi mikononi mwa wa Tanzania.
M4C for life!