yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,911
- 4,160
Ni kweli kwamba huyo jamaa alipokuwa Kaole alikunywa sumu kwa kukataliwa penzi na Norah? Nasikia ndiyo sababu ya kuondoka Kaole alipopona.
Hahahaahahahha hatar saaaana
Ni kweli kwamba huyo jamaa alipokuwa Kaole alikunywa sumu kwa kukataliwa penzi na Norah? Nasikia ndiyo sababu ya kuondoka Kaole alipopona.
😂😂😂Anakuja sana bongo..amenawiri..tatizo ulabu..all in all ana maisha mazuri..Masters ..kila LA hero!
Inaelekea jamaa yeye anasikiliza TBC ONE na FM tu! Sijui BBC na akina Deutsch Walle, ye aaaaaah! Ni za MABEBERU hizo!Yupo kwa Trump ni mtangazaji wa shirika la utangazaji la Marekani -Voice of America (VOA) katika idhaa ya Kiswahili