BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,546
Mtaalam wa kuchapia upooo?
ujajua analipwa.wapi
umegusq mboni yaa maisha ya watu mtoa.mada.m napita tu
ujajua analipwa.wapi
umegusq mboni yaa maisha ya watu mtoa.mada.m napita tu
Idd simba ni kiongoz safi na mwadilifu, mleta mada wewe ni muongo mkubwa
ujajua analipwa.wapi
umegusq mboni yaa maisha ya watu mtoa.mada.m napita tu
wewe naona unapiga chafya na kututawanyia mafua tu! hujui usemalo
Hata mapesa ya kuuzwa UDA aliyaweka kwenye akaunti ya PRIDE. Yote anayafanya kwa kuwa anajua serikalini hakuna wa kuweza kuhoji. Ukisikia serikali kuwekwa mfukoni mwa watu ndiyo tunachoshuhudia.
ndomana nchi hi hItoweza endelea hata siku moja maana kuna watu wanawatetea sana mijizi mikubwa ya nchi.....iko siku hao majizi watakufa kama kama mixoga tu
wewe naona unapiga chafya na kututawanyia mafua tu! hujui usemalo
Wewe unaejua usemalo hebu tueleze.!!!
We unaweza kujilisha wakati unalishwa na mke wako?
Unazidi kuthibitisha up.umbavu wako; una uhakika kuwa Nina mke (achilia mbali ninamlisha au la)?
Ufisadi ni kama gonjwa la kurithi vile... linaambatane nawe tu. Huyu jamaa hajaanza ufisadi leo. Nakumbuka kipindi akiwa waziri alishawahi kufanya ufisadi fulani uliomfanya akajiuzulu....HASIDI HAACHI ASILI...
.. fresh ya shamba hao wanao watetea dawa yao ni kuwapiga bakora tu shn...z type, kweli kabisa watakuwa wanalipwa hela na majizi hao
Kweli kabisa.. Huyu jamaa ni fisadi toka siku nyingi sana, Aliwahi kuuza jengo la ubalozi wa Tanzania nchini Burundi.. Halafu ni Mhutu huyu hana uchungu na Watanzania
Samahani.. kumbe una mume
Ufisadi ni kama gonjwa la kurithi vile... linaambatane nawe tu. Huyu jamaa hajaanza ufisadi leo. Nakumbuka kipindi akiwa waziri alishawahi kufanya ufisadi fulani uliomfanya akajiuzulu....HASIDI HAACHI ASILI...