Idd Simba ahusishwa na utapeli kupitia Pride Tanzania

Idd Simba ahusishwa na utapeli kupitia Pride Tanzania

labda kama wewe ni mbia wake...mbona hajarudisha shs 300 milioni mauzo ya uda aliotia mfukoni kwake.

una uhakika alichukua hizo pesa? au umekaririshwa pale ufipa na padri slaa. Ndio shida ya misukule ya Chadema, .. Chochote mbowe au slaa atakachosema yenyewe ni kushangilia tu kama mazuzu..poor you
 
Huyu na mkewe walihusishwa pia na kuuza dawa fake za ukimwi lakini hakuna kilichotokea dhidi yake bado anapeta mtaani hili nalo hata kama lina ukweli litapita tu. Mafisadi na mapanya ndani ya chama cha wahuni wanakingiana vifua ili kufichiana dhambi zao.
 
Huyu na mkewe walihusishwa pia na kuuza dawa fake za ukimwi lakini hakuna kilichotokea dhidi yake bado anapeta mtaani hili nalo hata kama lina ukweli litapita tu. Mafisadi na mapanya ndani ya chama cha wahuni wanakingiana vifua ili kufichiana dhambi zao.

Mkuu. Una uhakika lakini na unachoongea? Au umekurupuka.kutoka Bar
 
  • Thanks
Reactions: BAK
una uhakika alichukua hizo pesa? au umekaririshwa pale ufipa na padri slaa. Ndio shida ya misukule ya Chadema, .. Chochote mbowe au slaa atakachosema yenyewe ni kushangilia tu kama mazuzu..poor you
inashangaza
 
Huyu na mkewe walihusishwa pia na kuuza dawa fake za ukimwi lakini hakuna kilichotokea dhidi yake bado anapeta mtaani hili nalo hata kama lina ukweli litapita tu. Mafisadi na mapanya ndani ya chama cha wahuni wanakingiana vifua ili kufichiana dhambi zao.

Huyu jamaa ni fisadi mkubwa... Shirika lake la pride linaongoza kwa kuwatapeli watanzania masikini
 
  • Thanks
Reactions: BAK
  • Thanks
Reactions: BAK
Wala sijakurupuka bali vidole vimeteleza. Idd Simba alihusika na kesi ya kusababisha hasara ya bilioni 9 UDA kesi ikafutwa kinamna, hiyo ya dawa feki za ukimwi ni ya Madabida nayo imepotezewa. Wote hawa wanapeta mtaani.

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...katika-kesi-ya-kuhujumu-shirika-la-uda-2.html
Hata mapesa ya kuuzwa UDA aliyaweka kwenye akaunti ya PRIDE. Yote anayafanya kwa kuwa anajua serikalini hakuna wa kuweza kuhoji. Ukisikia serikali kuwekwa mfukoni mwa watu ndiyo tunachoshuhudia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
taratibu dada!
Yaani kila topic ikitoka wewe wa kwanza kujibu, unafanya kazi kweli wewe?
Mwajiri wako yupo na anakulipa! Kweli hapa maendeleo yatakujaje kwa madada wazuri kama wewe kushinda mitandaoni bala kuzalisha? Au utakuta hii ndo ajira yako hapa upo kazini! Lumumba ni shiiiiiiiiida!!!

ujajua analipwa.wapi

umegusq mboni yaa maisha ya watu mtoa.mada.m napita tu
 
Back
Top Bottom