Idadi wanawake duniani inazidi kuongezeka wakati wanaume ni wachache na wanazidi kupungua. Je pawepo na utaratibu kila dume liwe na wake zaidi ya mmoja?
Mambo moto, hujui mbona tayari wanaume wengi wanawanawake zaidi ya mmoja. Swala ni lini itakuwa wazi kijamii na kisheria
Yaani usemayo ni kweli
Kwa mwaka huu nimeona kina dada Ten wamejifungua kati yao mmoja tu ndio amejifungua mtoto wa kiume ..wengine tisa watoto wa kike
Sijui mungu ana mpango gani na kizazi hiki?
Idadi wanawake duniani inazidi kuongezeka wakati wanaume ni wachache na wanazidi kupungua. Je pawepo na utaratibu kila dume liwe na wake zaidi ya mmoja?
Idadi wanawake duniani inazidi kuongezeka wakati wanaume ni wachache na wanazidi kupungua. Je pawepo na utaratibu kila dume liwe na wake zaidi ya mmoja?
nipe shule kamandaKuzaliwa msichana ni mpango wa mwanaume,akipenda atazaa mtoto wa kiume!!!
Kama hujaelewa watafute wataalamu watakupa validity ya statement kwamba
"It's a husband who decides the next child to either be a boy or girl"
Tatizo wanaume wengi tunafanya mapenzi kama jogoo fasta fasta tu bila mpango
Mimi kwa mama yangu tuko wanaume watupu, lakini sipingi idea ya huyu jamaa asilimia kubwa ya watoto wanaozaliwa kwa sasa ni wa kike, hata wakizaliwa wakiume wengi wao wanapata birth asphyxia natabiri kizazi kijacho wanawake watakuwa na akili zaidi kuliko wale wa kiume
nipe shule kamanda
hao ndugu zako ni 0.00000000000000000000000111 Hawana impact!mh mbona mi ndugu zangu weng wamezaa watoto wa kiume?wa kike mmoja tu