didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,101
- 3,567
unaweza ukajiona una akili kumbe wewe ndo mpumbavu jielimishe au omba uelimishwe. Takwimu za walipa kodi hazijumuishi mambo ya kodi ya subunit unayonunuaAcheni kutupanga hivi nchi hii kuna mtu alipi kodi, hivi miamala kwenye sim , malipo kwenye luku , maushuru mbalimbali ikiwemo maegesho ya magari sio kodi
Kwa nini mnataka fanya watz wajinga sana ,pumbavu
Sisiem wamejaa wataalamu hamnazo.NO REFORMS NO ELECTION ndiyo jibu la kupata viongozi na watunga sera wenye maono ya kuhusu uchumi, ajira, masoko badala ya hawa waliopo wizarani na bungeni
09 April 2025
Mbamba Bay, Nyasa
Tanzania
HOTUBA YA NISHATI YA MAKAA YA MAWE ILIYOMLETEA MATATIZO TUNDU LISSU
View: https://m.youtube.com/watch?v=TdCkjaIH2rUTundu lissu amehutubia wananchi wa mji wa Mbambabay wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Hotuba ambayo ameirudia tena Mbinga mjini kuhusu madini mkakati kwa uanzishaji viwanda vikubwa vya kimkakati kuzalisha nishati, bidhaa na maelfu ya ajira kama pia serikali ikiamua makaa ya nayo yatumike nchini Tanzania mbali ya kuuza makaa nje ya nchi.
TOKA MAKTABA :
18 February 2025
Mradi wa Uchimbaji Chuma cha Liganga Mchuchuma pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu
View: https://m.youtube.com/watch?v=XOTIBat2sjoWaziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, leo tarehe 18.02.2025 ameendelea na ziara yake ya kikazi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe na kufika kwenye Mradi mkubwa na wa Kielelezo wa Chuma cha Liganga pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu inayosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)Waziri Jafo amesema mMadi huu unaweza kuanza mwaka huu 2025 kwani wataalum wa NDC kwa niaba ya Serikali pamoja na wawakilishi wa Mwekezaji wanakamilisha vipengele vya kimkataba ili Mradi huo uweze kuanza.
TOKA MAKTABA :
16 December 2024
Biteko - Tanzania kuendelea kuchimba, kuuza makaa ya mawe.
View: https://m.youtube.com/watch?v=l387nMlRQ0E
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuchimba na kufanya biashara ya makaa ya mawe kutokana faida za kiuchumi kwa taifa hilo, licha ya bidhaa hiyo kuhusishwa na uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi.
Baadhi ya mataifa barani Ulaya yanaachana na matumizi ya makaa ya mawe hususani katika kuzalisha umeme.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati, Doto Biteko katika mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC Florian Kaijage.
Ambapo miongoni mwa mambo mengine aliyoyazungumzia ni pamoja usambazaji wa gesi majumbani, bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kuwepo kwa umeme wa kutosha na masuala ya uongozi kwa ujumla.
kwa upande wao wanakua kweli wamevunja rekod yaaan kua juu ya lengo kwasababu wao hupanga maybe tukusanye milion 100 so wakikusanya mil 111 wanakua wamevunja record. Sasa msingi wa hoja yetu tujikite kwenye malengo wanayojiwekea kwa kuzingatia tax to GDP ratioHalafu unaambiwa TRA inavunja record kwa mapato kila mwezi toka mwaka uanze.
Dr Mpango ni mkweli mno mpaka wameamua kumpumzisha.
Wamepungua mwaka jana?Machinga wote sahivi halipi tena kodi na walikuwa zaidi ya 1 million nadhani ni hao ndio wamepunguza idadi..
DuhBiashara ya umachinga imerahisishwa sana,kuna walipa kodi wakubwa wamejificha kwenye machinga hususani Kariakoo
Reforms hadi kwenye Ulipaji Kodi??NO REFORMS NO ELECTION ndiyo jibu la kupata viongozi na watunga sera wenye maono ya kuhusu uchumi, ajira, masoko badala ya hawa waliopo wizarani na bungeni
09 April 2025
Mbamba Bay, Nyasa
Tanzania
HOTUBA YA NISHATI YA MAKAA YA MAWE ILIYOMLETEA MATATIZO TUNDU LISSU
View: https://m.youtube.com/watch?v=TdCkjaIH2rUTundu lissu amehutubia wananchi wa mji wa Mbambabay wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma. Hotuba ambayo ameirudia tena Mbinga mjini kuhusu madini mkakati kwa uanzishaji viwanda vikubwa vya kimkakati kuzalisha nishati, bidhaa na maelfu ya ajira kama pia serikali ikiamua makaa ya nayo yatumike nchini Tanzania mbali ya kuuza makaa nje ya nchi.
TOKA MAKTABA :
18 February 2025
Mradi wa Uchimbaji Chuma cha Liganga Mchuchuma pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu
View: https://m.youtube.com/watch?v=XOTIBat2sjoWaziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo, leo tarehe 18.02.2025 ameendelea na ziara yake ya kikazi Wilayani Ludewa Mkoani Njombe na kufika kwenye Mradi mkubwa na wa Kielelezo wa Chuma cha Liganga pamoja na Mlima mdogo wa Maganga Matitu inayosimamiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)Waziri Jafo amesema mMadi huu unaweza kuanza mwaka huu 2025 kwani wataalum wa NDC kwa niaba ya Serikali pamoja na wawakilishi wa Mwekezaji wanakamilisha vipengele vya kimkataba ili Mradi huo uweze kuanza.
TOKA MAKTABA :
16 December 2024
Biteko - Tanzania kuendelea kuchimba, kuuza makaa ya mawe.
View: https://m.youtube.com/watch?v=l387nMlRQ0E
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuchimba na kufanya biashara ya makaa ya mawe kutokana faida za kiuchumi kwa taifa hilo, licha ya bidhaa hiyo kuhusishwa na uchafuzi wa mazingira na mabadiliko ya tabia nchi.
Baadhi ya mataifa barani Ulaya yanaachana na matumizi ya makaa ya mawe hususani katika kuzalisha umeme.Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na waziri wa Nishati, Doto Biteko katika mahojiano maalumu na mwandishi wa BBC Florian Kaijage.
Ambapo miongoni mwa mambo mengine aliyoyazungumzia ni pamoja usambazaji wa gesi majumbani, bei ya mafuta ya petroli na dizeli, kuwepo kwa umeme wa kutosha na masuala ya uongozi kwa ujumla.
Rais Dk. John Pombe Magufuli, akiwa katika Kikao Maalum kati yake na Uongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ameeleza kuwa, Tanzania haifanyi vizuri katika suala la ukusanyaji wa mapato kulinganisha na Nchi nyingine za kiafrika.
Alieleza kwa kufafanua takwimu za kodi kwa kulinganisha Tanzania dhidi ya majirani zake:
Hapa Rais Magufuli amepigilia msumari kwenye ukweli. Watanzania wamekuwa wakilalamika kuwa, kodi ni nyingi na kwamba Sera za sasa siyo rafiki kwa mazingira ya kibiashara na uwekezaji nchini. Sasa ukweli umewekwa wazi kuwa, Tanzania ndiyo Nchi yenye wastani mdogo sana wa walipa kodi katika Nchi zote za Afrika Mashariki.
- Tanzania (milioni 55): walipa kodi milioni 2.2; kodi inayotozwa ni 12% ya GDP.
- Kenya (milioni 46): walipa kodi milioni 3.9; kodi inayotozwa ni 18% ya GDP.
- Uganda (milioni 37): walipa kodi milioni 1.2; kodi inayotozwa ni 14% ya GDP.
- South Africa (milioni 56): walipa kodi milioni 19.9; kodi ni 26% ya GDP.
- Mozambique (milioni 5.3): walipa kodi milioni 5.3; kodi ni 18% ya GDP.
- Zambia (milioni 16): walipa kodi milioni ?; kodi ni 15% ya GDP.
- Botswana (milioni 2): walipa kodi milioni 0.7; kodi 14% ya GDP.
- Burundi (milioni 10): walipa kodi milioni 0.2; kodi 13% ya GDP.
- Namibia (milioni 2): walipa kodi milioni 0.6; kodi 12% ya GDP.
Vilevile, mapato yatokanayo na kodi nchini Tanzania, ni asilimia ndogo sana kulinganisha na Nchi majirani. Tanzania imepigwa na Kenya, Uganda, Zambia, Msumbiji, Rwanda, Burundi, SA, Botswana na Namibia katika asilimia ya Mapato yatokanayo na kodi (kiwango cha kodi kulinganisha na uwiano wa pato la Taifa).
Sasa wewe fikiria, kama Serikali ya sasa imejitahidi kuziba mianya ya kodi na kuongeza walipa kodi lakini bado Tanzania iko nyuma kulinganisha na majirani zake, je kipindi cha kabla ya Magufuli, hali nchini ilikuwaje?
Tatizo liko kwa Watanzania wenyewe. Sera za ovyo za kuwarahisishia maisha watu wavivu ndizo zilizotufikisha hapa. Tuliifanya Tanzania masikini kuwa Nchi inayotegemea consumer goods na kujisahaulisha misingi ya kiuchumi. Leo bado tuko nyuma kwenye kodi but tunalialia, sasa hali ikifika ya kuifanya kodi kuchangia asilimia 15% itakuwaje.
Tuaje uvivu, majirani walikuwa wanatuchora sana kipindi cha nyuma namna tulivyokuwa tunapotea. Sasa hivi tunaifanya Tanzania kuwa Nchi ya kuzalisha bidhaa zetu na siyo kupokea kila kitu kutoka nje.
Rais Magufuli amewakumbusha Watanzania kuwa: Hapa duniani, mambo ya uhakika ni mawili pekee: kifo na kukusanya kodi
Kwa mtazamo wangu hapa wanazungumziwa walipakodi katika nyanja zote maana kuna kodi zinazolipwa tra na ambazo hazilipwi tra. inawezekana kabisa tra wakawa wanavuka malengo ila baadhi ya sekta zingine walipa kodi wakawa hawapo. mfano kuna mtu anaweza kuwa na kampuni akawa analipa kodi au tozo au liseni ya kampuni baadaye kampuni akafunga na kuwa na bishara binafsi badala ya kampuni hivo tra wakawa wanapokea kodi yao kama kawa ila kwenye liseni ya kampuni katoka. huu ni moja ya mfano.Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.
Je, unadhani nini kimechangia hali hii?
Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?
Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣
Biashara ya umachinga imerahisishwa sana,kuna walipa kodi wakubwa wamejificha kwenye machinga hususani Kariakoo
Naona umeonesha Nchi yenye walipa kodi wengi ni South Africa; ikifuatiwa na Kenya na Mozambique
Nafikiri moja ya sababu nikuwa na kodi rafiki inayolipika kirahisi; South Africa VAT kwao ni 15% Ikifuatiwa na Kenya na Mozambique ambao VAT ni 16%
Marekani ni kati ya Nchi inayo ongoza kuwa na walipa kodi wazuri Duniani ila ukiangalia VAT kwao ni 11%
Sijasema tupunguze kodi, nimetoa tu sababu...
Idadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.
Je, unadhani nini kimechangia hali hii?
Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?
Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣
Je huku kwetu kukoje, Rais Makamu wa Rais Waziri mkuu Majaji Mawarizi Wabunge Wakuu wa Mikoa Wilaya n.k wanalipa kosiIdadi ya walipa kodi nchini imeshuka kutoka watu 3,336,777 kwa mwaka 2021/2022 hadi watu 2,282,048.
Hayo yamesemwa na Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango leo jijini Dar es Salaam wakati wa ufunguzi wa kongamano la kodi na uwekezaji.
Je, unadhani nini kimechangia hali hii?
Je, wewe binafsi unalipa kodi yako na kuhimiza wengine kulipa kwa ajili ya kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo nchini?
Haya wale walio seme hii nchi inaweza kujitegemea wanyooshe mkono juu. Kiufupi tuna safari refu sana kuweza kujitegemea. Kama tupo milion 65 afu waliosajiliwa TRA ni milion mbili 🤣