Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Hizi sheria kweli za kishetani na hili nimeliona katika hii kesi.

Huyo Lisu si ndio alisema atakinusha na video watu waliona, kosa hili moja tu kwa sheria za kiuadilifu angekuwa ameshahukumiwa zamani sana. Nashangaa jambo linaenda muda wote huo na mashahidi wote hao wa nini ? Kupoteza muda na kuonyesha madhaifu ya sheria zenu.

USHETANI MTUPU HUU.
Sasa kukinukisha ndio uhaini? Ujinga mtupu.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Section 143 of the Evidence Act, 2019....................
 
Hizi sheria kweli za kishetani na hili nimeliona katika hii kesi.

Huyo Lisu si ndio alisema atakinusha na video watu waliona, kosa hili moja tu kwa sheria za kiuadilifu angekuwa ameshahukumiwa zamani sana. Nashangaa jambo linaenda muda wote huo na mashahidi wote hao wa nini ? Kupoteza muda na kuonyesha madhaifu ya sheria zenu.

USHETANI MTUPU HUU.
kukinukisha ni nini kisheria. ni kufanya uhaini kupindua nchi, kuua,kuandamana, what exactly it was intended,motive to do what. ushahidi lazima uonyeshe.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Wamuue tu hadharani! Na wafanye hivyo mapema!
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Vielelezo vile vile vinavyojirudia kwa mashahidi wa Jamhuri... Ngoja waje waanze kunuka!
 
Hizi sheria kweli za kishetani na hili nimeliona katika hii kesi.

Huyo Lisu si ndio alisema atakinusha na video watu waliona, kosa hili moja tu kwa sheria za kiuadilifu angekuwa ameshahukumiwa zamani sana. Nashangaa jambo linaenda muda wote huo na mashahidi wote hao wa nini ? Kupoteza muda na kuonyesha madhaifu ya sheria zenu.

USHETANI MTUPU HUU.
[emoji1787] Mkuu embu nijulishe mtu akisema atakinukisha Maanayake ni nini?.
 
Wewe ni shahidi yupi mjinga wao?

Au ni yule bodaboda wa mama aliyesema alisikia kukinukisha akapata hamasa!

Ila sifa ya moja ya kuwa ccm ni kuwa mpumbavu na mnafiki.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Ni upumbavu tu! Hii kesi ingekuwa inasimamiwa na mahakimu kama wa Kenya ingekuwa imeshatupwa!
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Hivi unajua kuwa CCM kumewsfanya wengi mpoteze uwezo wa kufikiri? Lini uzito WA kesi ukapimwa Kwa wingi wa mashahidi? Kuna Shahidi alikwenda kumchukua Lissu akiwa ameshakamatwa akampeleka Dar, kamaliza. Kuna mwingine kaandika anuani tu kwenye maelezo ya Lissu, ushahidi unaishia hapo, kuna mwingine eti Mtu kwenda JKT ni kuwa mwanajeshi amemaliza, yaani Mimi niliyekwenda JKT 2012 Leo ni Kamanda sijui Nina Cheo gani?
Mwingine alichukua recorded voice toka Dodoma Hadi Dar kamaliza. Huo mlolongo hata wangetaka wawe 300 wangefika maana hapo bado madereva walioendesha magari waliyopanda, hoteli walizokula njiani na abiria waliokaa nao kwenye mabasi.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Watapungua kadri kesi itakavyokuwa inakwenda hasa pale watakapoanza kujichanganya kwa maelezo yao.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Mtu yeyote anayefikiri sawasawa ataona tu kuwa hapa hakuna kesi! Ni upuuzi tu.
 
Hizi sheria kweli za kishetani na hili nimeliona katika hii kesi.

Huyo Lisu si ndio alisema atakinusha na video watu waliona, kosa hili moja tu kwa sheria za kiuadilifu angekuwa ameshahukumiwa zamani sana. Nashangaa jambo linaenda muda wote huo na mashahidi wote hao wa nini ? Kupoteza muda na kuonyesha madhaifu ya sheria zenu.

USHETANI MTUPU HUU.
"kukinukisha" maana yake nini mkuu, hasa kisheria.
 
Hii tafasri yako sijaikubali kiongozi. Mtu mwenye uaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwaje mhaini tena?
Hapo wana-imply kwamba mtu mwenye akili timamu , mtaalamu wa sheria na mwenye misingi wa uzalendo kuilinda nchi anatakiwa kuwa mwaminifu au mtiifu kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hata kama viongozi wake wanachokifanya hukubaliani nacho ndio maana yake. Mimi nimetafsiri walivyojitungia sheria yao ijapokuwa kwa mtindo wa kesi ya TAL ni ya kisiasa inahusu kikundi kilichoko madarakani sio tishio kwa wnanchi hata kidogo.

Mwanasiasa yeyote anapambana kupata madaraka ili atimize maono yake kwa nchi ambomo na yeyey ni sehemu ya jamii husika.

Tatizo lililopo ni kwamba ujio wa vyama vingi unachukuliwa kama uadui na chama tawala wakati katiba ya JMT inatoa haki ya raia yeyote wa Tanzania kuchagua kiongozi anayemtaka na kuchaguliwa kuwa kiongozi kwa jamii na wananchi walioonesha imani kwake kuwanasua katika wimbi la uonevu na umaskini.
 
Back
Top Bottom