Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Kama mashahidi wenyewe ndo hadi mtu wa uhamiaji, maajabu kweli
 
Ukishaona rundo la mashahudi ujue ni mashabidi wa kutengenezwa. Ushahidi halisia hata mashahidi wawili wanatosha kumtia mtu hatiani. Hilo rundo la mashahidi wa kutengenezwa limewekwa ili kurefusha muda, ili waendelee kumtesa Lisu na kumzuia kurudi iraiani kufanya siasa.

Mashetani na mawakala wao wanahangaika sana.

Mungu wa huruma awalaani hawa watu wanaodhulumu haki za watu.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Yaani kesi ya maana kwako ni idadi ya mashahidi wa kupangwa au ushahidi wenye mashiko? Bado mnategemea kesi za vitisho vya kujinga miaka hii?!
 
Kwa jinsi alivyosema "wanasema tunataka kufanya uasi, ndiyo tutafanya uasi tutazuia uchaguzi mkuu"

Inabidi afafanue alimaanisha nini

Kama alisema tutafanya mbona hao atakaofanya nao hawajashikwa...!!?

By the way, mtu wa kwanza kutamka No Reforms No Election alikuwa ni Mbowe. Yeye hakukamatwa badala yake akakamatwa Lissu kwa kuyarudia hayo maneno. Au kosa lake ni kusema yutakinukisha? Neno la kawaida kabisa huko mtaani....!!
 
Hii tafasri yako sijaikubali kiongozi. Mtu mwenye uaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwaje mhaini tena?
Mkuu

Msingi wake uko hapa ijapokuwa wamejielekeza vibaya kwa kuonesha chuki ya kisiasa dhidi ya TAL (political hatred rated fourth degree)

Scottish

In the United Republic of Tanzania, allegiance is chiefly sworn by citizens, especially those in public office. Individuals mandated to pledge allegiance encompass the President, Chief Minister, Chief Justice, Judges, Ministers, Attorney General, Deputy Ministers, members of the House of Representatives, and various other public officials. Furthermore, anyone appointed to a position within the service of the Republic may be obligated to take the oath of allegiance.

Comprehensive overview:

Citizens:
Tanzanian citizens, whether by birth or naturalization, owe allegiance to the United Republic.Public Officials: Individuals occupying significant roles in the government, judiciary, and other public institutions are required to take an oath of allegiance.
President: The President, serving as the head of state and government, takes the oath of allegiance upon taking office.
Ministers and Deputy Ministers:
Ministers and Deputy Ministers are also required to take oaths of allegiance along with other pertinent oaths.
Judiciary:
The Chief Justice, Judges of the High Court, and other judicial officers are required to take oaths of allegiance and judicial oaths.

Legislature: Members of the House of Representatives, the Speaker, and the Clerk of the House are also required to pledge allegiance.

Other Public Servants: Permanent Secretaries, Regional and Area Commissioners, and other officials may be mandated to take the oath.
Naturalized Citizens: Individuals who attain Tanzanian citizenship through naturalization are also required to take an oath of allegiance.

By Appointment:
The President possesses the authority to mandate any individual holding office in the Republic to take the oath of allegiance.



Kilamu
Katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, uaminifu na utii hasa unapoapishwa na raia,(*raia ndio wanaawapisha viongozi wote wa umma kuzingatia makubaliano ya kuwachagua) hasa wale walio katika ofisi za umma. Watu waliopewa dhamana ya kuapa uaminifu ni pamoja na Rais, Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Majaji, Mawaziri, Mwanasheria Mkuu, Naibu Mawaziri, wanachama wa Baraza la Wawakilishi, na maafisa wengine wengi wa umma. Aidha, mtu yeyote aliyepewa nafasi ndani ya huduma ya Jamhuri anaweza kulazimika kuapa uaminifu na utii.

Mtazamo mpana:

Raia:

Raia wa Tanzania, iwe kwa kuzaliwa au kwa kupata uraia wa kusajiliwa, wanatakiwa kuwa na uaminifu na utii kwa Jamhuri ya Muungano. Maafisa wa Umma: Watu wanaoshikilia nafasi muhimu katika serikali, mahakama, na taasisi nyingine za umma wanatakiwa kuapa uaminifu na utii kwa JMT.

Rais: Rais, anayehudumu kama kiongozi wa taifa na serikali, anaapa uaminifu na utii kwa JMT wakati anapoingia madarakani.

Mawaziri na Naibu Mawaziri:
Mawaziri na Naibu Mawaziri pia wanatakiwa kuapa uaminifu na utii pamoja na viapo vingine muhimu vya kimaadili.

Mahakama:
Jaji Mkuu, Majaji wa Mahakama Kuu, na maafisa wengine wa mahakama wanatakiwa kuapa uaminifu na utii kwa JMT na viapo vya mahakama vya kimaadili ya utendaji haki bila kuegemea upande kwa sababu yoyote ya kimaslahi binagsi..

Bunge: Wabunge na wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi, Spika, na Katibu wa Baraza pia wanatakiwa kuapa uaminifu na utii kwa JMT.
Wahudumu Wengine wa Umma: Katibu Mkuu, Kamishna wa Mikoa na Mikoa, na maafisa wengine wanaweza kulazimika kuapa.


*Kwa hiyo Jamhuri ni WANANCHI sio viongozi wa kisiasa walioko madarakani kwa kipindi maalumu.
 
Kama alisema tutafanya mbona hao atakaofanya nao hawajashikwa...!!?

By the way, mtu wa kwanza kutamka No Reforms No Election alikuwa ni Mbowe. Yeye hakukamatwa badala yake akakamatwa Lissu kwa kuyarudia hayo maneno. Au kosa lake ni kusema yutakinukisha? Neno la kawaida kabisa huko mtaani....!!
Mkuu

Kukinukisha halina jinai yoyote ile
1. Kunuka ni harufu mbaya inayoondoa raha kwa mtu anayevuta hewa yenye harufu hiyo (uchafu_ maana kufunua uozo wa mabaya yaliyofichwa yakaingia kwenye pua ya aliyeficha akajulikana na heshima yake kushuka kutokana na uchafu alionano...sio jinai wala uhaini

2. Kufunua mabaya yote dhidi ya mshindani ili imani kwa wananchi ipungue na aliyewezesha kufunua imani inahamishiwa kwake kwa kuwa ataahidi kuondosha uchafu unaowasumbua wananchi bila viongozi wao kujali kwamba walikuwa wanahatarisha usalama wa afya zao....sio wala uhaini


Lissu hana kosa lolote zaidi ya hofu ya walio madarakani kunyang'anywa dhamana ya uongozi kupitia imani ya wananchi kwake TAL.
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Mashahidi wa kusikia kusikia kusikia..... unajua sheria inataka nini kabla ya kumtia hatiani mtuhumiwa wa uhaini?

Wote tunajua kesi hizi mbili ni kuizuia CDM isiwemo katika uchaguzi, infact wanahangaika namna ya kuifuta ila wanakwama.
 
Kwa hiyo kutangaza hadharani uasi sio kosa?


Kama una akili japo ndogo ya kutunza kumbukumbu, utakuwa unafahamu kuwausu alikuwaanaijibu barua ya G55, waliosema kuwa kutoshiriki uchaguzi ni uasi, na Lisu akasema kuwa,"ni kweli utakuwa ni uasi dhidi ta sheria gandamizi". Kwa hiyo kwako wewe, kusema hivyo, ni kupindua Serikali?
 
Kwani ya Papii Kocha na Nguza Vicky yaliishia wapi?.... Vanity of Vanities
 
Kiapo alichokula akiwa JKT ndo kitakachomsumbua,kwingine anaweza kupeta
 

Attachments

  • 2049216478.jpg
    2049216478.jpg
    167.8 KB · Views: 21
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Idadi ni paschal?
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Atleast Take Your Brain with you Sometimes
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Ni kama idadi ya wakwepa kodi na wala rushwa kina singasinga waliokutana kukinunua chama ( ccm) na ikulu ya magogoni pale mlimani City au siyo?
Kwamba singasinga siyo MHUJUMU uchumi tena bali MWANAHARAMBEE?
Twafa
 
Kwa jinsi alivyosema "wanasema tunataka kufanya uasi, ndiyo tutafanya uasi tutazuia uchaguzi mkuu"

Inabidi afafanue alimaanisha nini

..alisema atazuia uchaguzi usio wa haki.

..Na ataruhusu uchaguzi mzuri wa haki.

..sasa kama serikali inakiri kwamba uchaguzi utakuwa huru, na haki, basi bila shaka Tundu Lissu angeunga mkono.
 
Back
Top Bottom