Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Idadi ya mashahidi ni 30 vielelezo ni 9

Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Uhaini (kutoka neno la Kiarabu خيانة, "khiyāna", yaani Usaliti) ni kosa la kusaliti nchi yako, kwa kawaida kwa kujaribu kupindua serikali, kuendesha vita dhidi ya taifa, au kusaidia maadui wake kwa njia yoyote ile.

Je KUKINUKISHA NI UHAINI?
Nini maana ya KUKINUKISHA?
Sijui Kama Kuna kesi hapa
 
Hii kesi nilihisi ni kama mzaha lakini kwa Hii idadi ya mashahidi iliyotajwa ni wazi kesi hii sio ndogo kama baadhi ya watu wanavyohisi.
N.B
Wakili wa Serikali amewasilisha idadi hii ya mashahidi na vielelezo.
paschal mayalla
Si vijipande pande tu vya majarida na vijiclip walivyorecord hata hivyo tisa vichache ,Wangeleta mizinga makombora,hapo tungejua kweli Lisu alijiandaa.
 
..alisema atazuia uchaguzi usio wa haki.

..Na ataruhusu uchaguzi mzuri wa h1aki.

..sasa kama serikali inakiri kwamba uchaguzi utakuwa huru, na haki, basi bila shaka Tundu Lissu angeunga mkono.
Na alisema "ndiyo tutafanya uasi" hilo ndo tatizo
 
Kama alisema tutafanya mbona hao atakaofanya nao hawajashikwa...!!?

By the way, mtu wa kwanza kutamka No Reforms No Election alikuwa ni Mbowe. Yeye hakukamatwa badala yake akakamatwa Lissu kwa kuyarudia hayo maneno. Au kosa lake ni kusema yutakinukisha? Neno la kawaida kabisa huko mtaani....!!
Tatizo ni kusema "ndiyo tutafanya uasi" kuhusu wenzake kutokushikwa mimi sijui ila niliona hivyo video clip
 
kukinukisha ni nini kisheria. ni kufanya uhaini kupindua nchi, kuua,kuandamana, what exactly it was intended,motive to do what. ushahidi lazima uonyeshe.

Kukinukisha ni kuleta machafuko na fitna katika nchi. Sasa kisheria inatakiwa kuzuia hata ile ishara ya kuelekea katika hilo.

Ndio maana nasisitiza ya kuwa Sheria zenu ni za kishetani, yaani muovu anatetewa ? Akili za kijinga sana hizi.

Unajua kazi ya Dola ?
 
mashahidi wa Lissu
1. Samia
2. Mpango
3. Majaliwa
huyu jamaa haziko sawa, tunaweza kuwa tunahangaishwa na mgonjwa
 
[emoji1787] Mkuu embu nijulishe mtu akisema atakinukisha Maanayake ni nini?.

Maana yake ni fitna na kiashirio cha machafuko, sababu huyo Mtu huyo ana watu wanao muamini na kumtetea kama nyinyi katika uzandiki wake.

Serikali katika kazi yake ni kuzuia viashiria vinavyoplekelea hali za hatari kama hizi.

Ndio maana huwa nashangaa, yaani muovu na muhalifu tena kwa kosa la wazi kabisa, wanatafutwa mashahidi ? Bali jambo ambalo liko wazi linachukua muda wote huo na kupoteza wakati kiasi hicho ?
 
"kukinukisha" maana yake nini mkuu, hasa kisheria.

Muktadha wa tamko hilo lilitamkwa na nani ? Katika mazingira gani na wakati gani na kwa munasaba gani ? Sheria zenu huwa haziangalii hilo ?

Kukinukisha ni ftna, uhalifu, uvunjifu wa amani na Uhaini, bali ni usaliti katika nchi.
 
Hizi faraja mnazitolea wapi?
Hivi nyie kila asimuunga TAL mkono manaake hana akili?
Huyu jamaa muda huu ameyakanyaga, watu walishamjulia watapita nae kama kibwabwa
Trust me
Mashahidi 30 ni wengi ila wote wanakuwa muflis,ila shahid watatu wa TAL ni hatar kama kaa la moto,sa100,majaaliwa,mpango
 
Uhaini (kutoka neno la Kiarabu خيانة, "khiyāna", yaani Usaliti) ni kosa la kusaliti nchi yako, kwa kawaida kwa kujaribu kupindua serikali, kuendesha vita dhidi ya taifa, au kusaidia maadui wake kwa njia yoyote ile.

Je KUKINUKISHA NI UHAINI?
Nini maana ya KUKINUKISHA?
Sijui Kama Kuna kesi hapa

Acheni kujitoa ufahamu vijana katika mambo mepesi kama haya. Muktadha wa tamko kukinukisha ni uhaini, Asili ya maana katika neno ni uhakika wake kabla halijatumika kiistilahi.

Kukinukisha ni tamko la mtaani ambalo sio halijarasimishwa katika Kiswahili sanifu, lenye maana ugovi na machafuko kulingana na muktadha wa wapi limetumika. Mchukue mtanzaniac yeyote umuulize kuhusu kukinukisha, je humaanisha amani na utulivu ?

Au sheria zenu huwa haziangalii muktadha ?
 
Wewe ni shahidi yupi mjinga wao?

Au ni yule bodaboda wa mama aliyesema alisikia kukinukisha akapata hamasa!

Ila sifa ya moja ya kuwa ccm ni kuwa mpumbavu na mnafiki.
Sipo kwenye mashahidi...ningekuwepo ushahidi wangu ungekuwa mgumu sana kwake
 
Ukishaona rundo la mashahudi ujue ni mashabidi wa kutengenezwa. Ushahidi halisia hata mashahidi wawili wanatosha kumtia mtu hatiani. Hilo rundo la mashahidi wa kutengenezwa limewekwa ili kurefusha muda, ili waendelee kumtesa Lisu na kumzuia kurudi iraiani kufanya siasa.

Mashetani na mawakala wao wanahangaika sana.

Mungu wa huruma awalaani hawa watu wanaodhulumu haki za watu.
kwani unafahamu kosa hilo limeanza lini?
 
We shoga nenda kanye akili ikurudi. Na akifungwa urudi kuandika tena. Huyo mbwa wenu atapigwa za maisha na hamna la kufanya acha kupanic we nge

Hizi faraja mnazitolea wapi?
Hivi nyie kila asimuunga TAL mkono manaake hana akili?
Huyu jamaa muda huu ameyakanyaga, watu walishamjulia watapita nae kama kibwabwa
Trust me
Watu gani waliojiamulia kupita nae au unakusudia wahuni?
 
Acheni kujitoa ufahamu vijana katika mambo mepesi kama haya. Muktadha wa tamko kukinukisha ni uhaini, Asili ya maana katika neno ni uhakika wake kabla halijatumika kiistilahi.

Kukinukisha ni tamko la mtaani ambalo sio halijarasimishwa katika Kiswahili sanifu, lenye maana ugovi na machafuko kulingana na muktadha wa wapi limetumika. Mchukue mtanzaniac yeyote umuulize kuhusu kukinukisha, je humaanisha amani na utulivu ?

Au sheria zenu huwa haziangalii muktadha ?

Kwahiyo ugomvi na machafuko ni UHAINI? kila alie leta ugomvi na Machafuko ni MHAINI tumnyonge sio?
 
Back
Top Bottom