Idadi ya CCM vs Idadi ya chadema.

Idadi ya CCM vs Idadi ya chadema.

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,532
😀😀
Ila CCM bana
Yaani mmeandikisha hadi watoto wa shule mmefika milioni 13
Sasa na Chadema kupitia uandikishaji wao wamefika mil 18 na mnaona umati wakati CCM wanasomba hadi wavuta bangi 🤣
Hii imekwisha! CCM kama mna wanachama milioni 3 serious mmejitahidi
IMG_1477.jpeg
IMG_1476.jpeg
 
😀😀
Ila CCM bana
Yaani mmeandikisha hadi watoto wa shule mmefika milioni 13
Sasa na Chadema kupitia uandikishaji wao wamefika mil 18 na mnaona umati wakati CCM wanasomba hadi wavuta bangi 🤣
Hii imekwisha! CCM kama mna wanachama milioni 3 serious mmejitahidi
View attachment 3351561View attachment 3351562
..unaipambania CDM iliyokufa kwa propaganda fake
 
😀😀
Ila CCM bana
Yaani mmeandikisha hadi watoto wa shule mmefika milioni 13
Sasa na Chadema kupitia uandikishaji wao wamefika mil 18 na mnaona umati wakati CCM wanasomba hadi wavuta bangi 🤣
Hii imekwisha! CCM kama mna wanachama milioni 3 serious mmejitahidi
View attachment 3351561View attachment 3351562
Chauma wangqpi? bila kuwasahau ACT na CUF.
 
😀😀
Ila CCM bana
Yaani mmeandikisha hadi watoto wa shule mmefika milioni 13
Sasa na Chadema kupitia uandikishaji wao wamefika mil 18 na mnaona umati wakati CCM wanasomba hadi wavuta bangi 🤣
Hii imekwisha! CCM kama mna wanachama milioni 3 serious mmejitahidi
View attachment 3351561View attachment 3351562
CDM waongo.. wamejuaje 18m wanahudhuria mikutano!
 
Elfu kumi tatu ni wa ccm, wanaobaki huipigia kura chadema, kidogo ACT. Ikitokea uchaguzi ukafanyika wazi na haki chadema itaongoza ikifuatiwa na ccm, halafu ACT wazalendo. Mchuano utakuwa wa vyama vitatu tu, vingine vitaishia kupata kura chache kwani havina wanachama na wapiga kura wao wengi. CHAUMMA bado ushawishi wao hauonekani na hujulikani licha ya kupata mvumo wa ghafla kipindi hiki cha kupokea waliokuwa makada wa chadema
 
Population ya waliojiandikisha kupga kura inaweza ikawa 40m wapga kura hata 8m wasifike.
 
Elfu kumi tatu ni wa ccm, wanaobaki huipigia kura chadema, kidogo ACT. Ikitokea uchaguzi ukafanyika wazi na haki chadema itaongoza ikifuatiwa na ccm, halafu ACT wazalendo. Mchuano utakuwa wa vyama vitatu tu, vingine vitaishia kupata kura chache kwani havina wanachama na wapiga kura wao wengi. CHAUMMA bado ushawishi wao hauonekani na hujulikani licha ya kupata mvumo wa ghafla kipindi hiki cha kupokea waliokuwa makada wa chadema
ILLUSION
1748674316926.png

 
Back
Top Bottom