Kifulambute
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 2,539
- 755
Habari wana sheria,
Kumekuwa na wimbi kubwa kwa makampuni mengi ya nchini kuajiri wafanyakazi wasio wananchi wa Tz..mara nyingi ni wakenya..hasa katika fani zifuatazo.
.Engineering
.Accountancy and Finance
.Pilots
.hotels management
.Human resource
naomba kujua idadi kwenye kampuni moja na ni kazi zipi zinazopelekea mgeni awe qualified kuajiriwa tz..
Kumekuwa na wimbi kubwa kwa makampuni mengi ya nchini kuajiri wafanyakazi wasio wananchi wa Tz..mara nyingi ni wakenya..hasa katika fani zifuatazo.
.Engineering
.Accountancy and Finance
.Pilots
.hotels management
.Human resource
naomba kujua idadi kwenye kampuni moja na ni kazi zipi zinazopelekea mgeni awe qualified kuajiriwa tz..