Mwatulole
Member
- Oct 16, 2017
- 54
- 191
Habarini ya leo wana JamiiForums wenzangu,
Mimi ni kijana, niliekuwa na mtazamo wa kuwa na mtoto mmoja tu na tulikubaliana na mwenzangu tumeweza kumaintain hii hali kwa miaka tisa lakini juzi mke wangu hajaziona siku zake.
Kaenda kupima kakutwa anaujauzito kwa kweli hakuna namna nimezipokea taarifa hizo kwa mikono miwili japo mpango wangu ilikuwa ni mtoto mmoja.
Naomba kujua standard ya zama hizi ni watoto wangapi kwa uzao wa ambao hawawezi kukupa wakati mgumu wa malezi.
Mimi ni kijana, niliekuwa na mtazamo wa kuwa na mtoto mmoja tu na tulikubaliana na mwenzangu tumeweza kumaintain hii hali kwa miaka tisa lakini juzi mke wangu hajaziona siku zake.
Kaenda kupima kakutwa anaujauzito kwa kweli hakuna namna nimezipokea taarifa hizo kwa mikono miwili japo mpango wangu ilikuwa ni mtoto mmoja.
Naomba kujua standard ya zama hizi ni watoto wangapi kwa uzao wa ambao hawawezi kukupa wakati mgumu wa malezi.