ChekoFagia
Senior Member
- Sep 20, 2025
- 115
- 339
Tume huru ya kuzuia rushwa na makosa mengine yanayohusiana (ICPC) inapenda kuthibitisha kuwa leo jumanne tarehe 16 desemba, 2025 imepokea rasmi malalamiko (petition) kutoka kwa alhaji aliko dangote kupitia wakili wake. malalamiko hayo yanamlenga mtendaji mkuu (CEO) wa nmdpra, Alhaji Farouk Ahmed ICPC inapenda kufahamisha umma kuwa malalamiko hayo yatafanyiwa uchunguzi kwa mujibu wa sheria
Pia Soma: Aliko Dangote ataka afisa wa Serikali achunguzwe kwa kutumia dola 5m kulipa ada za watoto Uswisi
.
Pia Soma: Aliko Dangote ataka afisa wa Serikali achunguzwe kwa kutumia dola 5m kulipa ada za watoto Uswisi