Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,098
- 1,700
Yeah hii inalipa ndio tena sana tuu lakini uwe unajitahidi kubalance sukari kwa maana raia wengine hawapendi sukari nyingiiii!!
Portable ice cream maker
hivi hiyo yako au na unaiuza au?mkuu tuongee biashara ni PM
OkNi vyema kufungia vifuko vya karanga. Mfuko upo kwenye rola haina usumbufu katika kujaza. Unafunga kwa mashine zinauzwa 50,000 zinatumia umeme. Hizi ni za kuchomea tu
Hata mimi pia nahitaji hizo mashine ndogo, hizo kubwa nmeziulizia Zanzibar bei yake ni mil3.5 zipo za mil3, na za mil2.9 nazo ni mpya used sijazipata hata hizo ndogo cjazpata ila nahitaji sana hizo ndogo za bei nafuu. Nipo Znz ila muda c mrefu nitarudi DSM.Ukijibiwa nitafaidika nami!
Ipi sasa?Komaa tu idea nzuri
Naomba kufahamishwa maeneo husika zinako patikana hizo portable.Wakuu mimi nimesaidia tu kuwapa idea kuwa zipo ndogo mpaka portable kwa bei isiyozidi laki, sasa ni kazi kwako kutembelea supermarket kubwa sidhani kama utazikosa na hata kama hawana ukipress order watakuletea, kwa wastani zipo hadi za US dollar 50
Au naomba link yao.Naomba kufahamishwa maeneo husika zinako patikana hizo portable
Amazon.com zipo lakini hata alibaba hazikosi,wewe google min icecream maker kisha angalia image zake na link zipo,halafu humu mbona kuna watu wanafanya hizo kazi unaweza kuwapa order unahitaji ya ukubwa upi na ya bei ipi na wakakuletea.Au naomba link yao
Ahsante sana mkuu, ila nilishawahi weka tangazo kuwa mwenye nazo hizo mashine ila sikupata supportAmazon .com zipo lakini hata alibaba hazikosi,wewe google min icecream maker kisha angalia image zake na link zipo,halafu humu mbona kuna watu wanafanya hizo kazi unaweza kuwapa order unahitaji ya ukubwa upi na ya bei ipi na wakakuletea
Kama una uzoefu unashare na wenzako, unaweza saidia watu wengi sana.Tumetengeneza sana miaka hiyo icecream jamani.
Nimependa hii Ice cream maker. Kwa TZ huku zinapatikana wapi?Portable ice cream maker