Biashara ya kutengeneza na kuuza "Askrimu" (Ice Lollies)

Habari wanajamvi mimi ni kijana kati ya miaka 30 nina mtaji wa mil 3 nataka kuanzisha biashara ya kuuza icecream aina ya chokstic za maziwa na hata za choklate kama bakhresa.

Naomba ushauri wenu je wazo hili ni muafaka kwa maeneo yetu hasa jiji la Tanga. Mpango wa mashine kubwa kwa ajili ya uzalishaji tayari nishafanya mawasiliano.nadhani inaweza kunigharimu kama 1ml.

Naomba kuwasilisha.
 
Hellow wana JF,

Mimi napenda kuuliza mtaji unaofaa kwa biashara ya kuuza ice cream, naomba mwenye uwelewa anisaidie.

Siku njema wote
 
Ubuyu n wa vipeke na unaweza ukachanganya na ukwaju. But jinc ya kuzifanya ziwe laini hapo labda tupate utaaalmu kwa wanajamii.
 
Hello,
ushafahamu jinsi ya kutengeneza hizi ice cream? Mi binafsi natafuta ujuzi huu, ila bado sijapata kufahamu.
Unapika uji wa ngano kwenye sufuria ila uwe mwepesi halafu unachukua uji unachanganya kwenye ubuyu uliouloweka na maji ya moto then unakoroga baada ya hapo unafikisha kutoa mbegu then inakuwa tayari.
 
Nsemwas junior. Naomba kupata mawasiliano yako kuna mambo nahitaji tuzungumzee!
 
Kuna jamaa nilimkuta sabasaba mwaka huu ana mashine inachanganya na kutoa ice cream zile za kwenye kopo kama bakhresa alinambia ile mashine ni 3m je kuna yeyote mwenye kujua upatikanaji wake au zipo ndogo ile mimi naona ina pesa sana maana utauza kwa kupack kwenye kopo au kuwauzia wale wa kuzunguka kitaa lambalamba.
 
Kuna jamaa nilimkuta sabasaba mwaka huu ana mashine inachanganya na kutoa ice cream zile za kwenye kopo kama bakhresa alinambia ile mashine ni 3m je kuna yeyote mwenye kujua upatikanaji wake au zipo ndogo ile mimi naona ina pesa sana maana utauza kwa kupack kwenye kopo au kuwauzia wale wa kuzunguka kitaa lambalamba
Ukijibiwa nitafaidika nami!
Ubuyu n wa vipeke na unaweza ukachanganya na ukwaju. But jinc ya kuzifanya ziwe laini hapo labda tupate utaaalmu kwa wanajamii
 
Back
Top Bottom