ICC naanza kuwaona ni wazembe

ICC naanza kuwaona ni wazembe

Watz naona wana maumivu so wanaona kama muda unaenda sana
Muda utafika haki itatendeka tu , mkoloni alimwaga damu za watanganyika wengi ila huyu kibibi ndio mtu wa kwanza kumwaga damu za watanganyika kuliko hata mkoloni.
 
Kila siku tunasema huko mmeingizwa chaka lakini mlikuwa mnashupaza fuvu
 
ICC haina tofauti sana na UN. Ni taasisi isiyo na nguvu.

Samia ni wa kuwajibishwa na Watanzania hapa hapa Tanzania.

Samia ni wa kuuliwa tu. Period, end of everything.

Kill the bytch.
 
Ngoja tume feki imalize kazi kwanza, hio ndio iliundwa ili kuchelewesha mambo, Huyu mama lazima anyongwe
Mtaishi na vinyongo moyoni mpaka 2030, ICC hakuna kesi wanayoweza kumfungulia SSH.

Vijana wetu wafanye uhuni halafu wakidhibitiwa watu wazima waanze kutia huruma huko ICC!.

Kuna ile kesi kule Arumeru wanakufa vijana wote walioiba mali za petrol station ya Panone, asilimia kubwa ya vijana siku ile walifanya uhuni wakitegemea kuipindua serikali halali ya JMT.

Baada ya kushindwa kufanya hayo mapinduzi zinakuja kusikika sauti za kujiliza kwa ICC bila ya kujua wanafanya vipi kazi.
 
Mkuu, ICC huchukua miaka kadhaa kuanza kesi. Mfano ni kesi ya machafuko ya baada ya uchaguzi wa 2008 nchini Kenya, Ilichukua zaidi ya miaka 5 hadi kuanza kusikilizwa.
Kwa hiyo kibibi kitapanda kizimbani kikiwa kimesha staafu ili kikafe polepole huko siyo.
 
Nilikuwa na imani sana na hii mahakama, ila kwa sasa naanza kupoteza matumaini kuwa huenda nayo inaingilliwa .

Tangu watuhumiwa wa mauji ya Oktoba 29 wafunguliwe kesi, inakuwaje mahakama hii iko kimya mpaka leo huku ikionekana kukutana na watu ambao ni wateule wa mtuhumiwa mkuu?

Kukutana sio kosa, ila huu ukimya unaanza kutupa mashaka.

Au wanasubiri uchunguzi wa tume ya Samia?

Kama wanasubiri huo uchunguzi, hawa watu kweli wako serious?

Anyway, mnaojjua hii mahakama inavyofanya kazi hebu tusaidiane labda kuna mambo sisi wengine hatuyajui kuhusu utendaji kazi wa hii mahakama.
ICC haideal na porojo wala uzushi nonsense wa mamaluki gentleman
 
Haikuwasaliti wakenya,kesi ya wakenya ilikuwa rahisi watuhumiwa kuchomoka maana ni chuki za kikabila miongoni mwa raia ndo zilisababisha hayo mauaji.
Mashahidi waliachwa holela wakarubuniwa na wengine kupotezwa! In the end Ruto akasalimika!
 
Back
Top Bottom