muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,203
hivi kunamadhara gani nikimpuuza nakumdhihaki shetani ndani ya nafsi
sawa mzee mwenyeweView attachment 508348pata maji ya baraka woga utaisha
Shetani si mkata tamaa wala mtu wa hamaki... The dude can always get n nail you with a thousand tricks... Ndio maana tunashauriwa tudumu katika maombi na toba kwakuwa kwa hila za mwovu shetani tunaanguka dhambini mara kwa marahivi kunamadhara gani nikimpuuza nakumdhihaki shetani ndani ya nafsi
Katika ubora wako....ya kafara hulindwa na kafara......kama nakuelewa hivi....View attachment 508015
Ukisha compromise na shetani mambo yako yatarudi kwenye mstari tena.... Lakini kumbuka ATARUDI TENA
Ya kafara hulindwa na kafara![]()
![]()
![]()
![]()
Shetani si mkata tamaa wala mtu wa hamaki... The dude can always get n nail you with a thousand tricks... Ndio maana tunashauriwa tudumu katika maombi na toba kwakuwa kwa hila za mwovu shetani tunaanguka dhambini mara kwa mara
Ndio maana matajiri wengi waliopata utajiri kwa njia ya makafara huendelea kutoa makafara kila wakati ili mambo yasiharibike... Lakini mwishowe hushindwa kutokana na ukubwa wa makafara kuongezeka kila wakatiKatika ubora wako....ya kafara hulindwa na kafara......kama nakuelewa hivi....
Anasema aliongea na shetaniOutwitting the devil, kitabu hiki kinaeleza namna shetani anavyo tawala akili za wanadamu na kuwafanya watumwa wake. Kimeandikwa na Napoleon Hill. Kuna soft copy, na pia kuna audio book yake.. Google it
Si pombe hii mkuu kwani pombe kunywa ni ruksa na shetani hawezi kuku ng'ang'ania?View attachment 508348pata maji ya baraka woga utaisha
Aliongea naye yeye kama nani ulimwenguniAnasema aliongea na shetani