Ibilisi ana sura nyingi

Ibilisi ana sura nyingi

Hivi shetani wanazaliana kama sisi??
shetani huweza kuzaliana
Mungu anasema katika vitabu "tumejaalia maadui katika kila Mtume,nao ni mashetani katika watu na mashetani katika majini "
kwa uelewa wangu wa maandiko na imani yupo shetani mkuu na wapo shetani wadogo
Na Mungu ameumba kila kitu katika pair dume na jike
na wale wanaomfuata shetani katika majini na wanadamu nao huitwa shetani,
Wakati mwingine pia shetani yaweza kuwa sifa zaidi kuliko umbile,
katika macho yako yaweza ukamuona fulani ni binadamu lakini mbele ya Mungu yeye akawa shetani kutokana na matendo yake
na ukiacha yule shetani mkuu alielaaniwa na hatasamehewa na Mungu, hawa wadogo huweza kutubu wakiona haki na kuwa watu wazuri mbele ya Mungu japokuwa kama alivyoeleza mshana jr yule shetani mkuu mara zote atataka kuwavuta kwake wamkufuru Mungu
 
View attachment 508015ni huyu huyu ibilisi shetani tunayefanya naye kolabo nyingi tu kuanzia kwenye simu zetu, yale mambo ya ajabu ajabu tuliyoyahifadhi tena sometimes kwa kuhofia kuonwa na watoto au wenzi wetu nk tunaweka na password kabisa
Ni huyo huyo tunaambaa naye mpaka makazini kwetu tukimuomba msaada kupitia mawakala wake waliotapakaa kila kona ili tupandishwe vyeo ama tubaki kwenye nafasi tulizo nazo, ama tumuondoe fulani ili urithi nafasi yake
Tuko naye bega kwa bega mpaka kwenye kutaka mafanikio ya haraka, umaarufu mahusiano mpaka bahati na ngekewa.... Huu ni upande wake wa kwanza adui rafiki
View attachment 508016picha hii ni kiwakilishi cha shetani katika upande wake wa pili katika uhalisia wake... Katika sura yake halisi.... Hana huruma hana upendo na hana subra... Mkatae uone atakachokufanya... Atakunyuka kwa mapigo usiyoyajua atakurarua na kukuchanachana kabisa.. Na kwa akili za kawaida za kibinadamu wengi huomba po! Na kukubali yaishe
Ukisha compromise na shetani mambo yako yatarudi kwenye mstari tena.... Lakini kumbuka ATARUDI TENA
Ya kafara hulindwa na kafara

mkuu hiyo picha niya kubuni au ni genuine? naona kama unatudanganya mchana kweupeeee na story zako za kusadikika
 
Ni juavyo mimi shetani ana sura nzuri sana.

shetani ni nani? na kwanini shetani anaitwa shetani? nasikia kua lucifer maarufu kama angel of light sura yake sio hiyo mbaya na ya kutisha kama yule predator wa kwenye movie ya shwaznigger otherwise tutakua tunadanganya na mapicha ya uongo ya shekh yahaya hussein.
 
mkuu hiyo picha niya kubuni au ni genuine? naona kama unatudanganya mchana kweupeeee na story zako za kusadikika
Haiwezi kuwa halisi kama tayari una fikra za kusadikika kwenye kudanganywa mchana kweupe na 'what you call story zangu'
 
Hivi shetani wanazaliana kama sisi??
Rubi wanazaliana kama binadamu sisi na wanakooo kama sie bin fulani etc na wako wengi zaidi ya binadamu na wana wako wabaya na wazuri yani wanao abudu na wako against na mambo mazuri yani mambo ya mungu. na wana desires kama binadamu yani sexually,hata ya vitu,vyakula etc. yani wana attribute kama za binadamu ila wao ni kind nyingine sie hatuwaoni ila wao wanatuona sisi.
 
Haiwezi kuwa halisi kama tayari una fikra za kusadikika kwenye kudanganywa mchana kweupe na 'what you call story zangu'

we umemuona lini ibilisi? kuna uwezekano mkubwa huyo unaemuita ibilisi akawa ni zao la fikra zako finyu na mawazo yako mgando.
 
we umemuona lini ibilisi? kuna uwezekano mkubwa huyo unaemuita ibilisi akawa ni zao la fikra zako finyu na mawazo yako mgando.
Huu ni mtazamo wako ambao sina tatizo nao kwahiyo haunipi shida... Shida ni moja je unaakisi uhalisia?
 
Huu ni mtazamo wako ambao sina tatizo nao kwahiyo haunipi shida... Shida ni moja je unaakisi uhalisia?

tatizo lako umekua muongo muongo na hadithi za kufirika na kuwatisha tisha watu na mapicha ya kubuni nakushauri uwe mganga wa kienyeji utawapata wengi kama babu wa loliondo
 
tatizo lako umekua muongo muongo na hadithi za kufirika na kuwatisha tisha watu na mapicha ya kubuni nakushauri uwe mganga wa kienyeji utawapata wengi kama babu wa loliondo
Huwa sikatai kupokea ushauri Lakini sipangiwi maamuzi
Sikatai kusoma maoni na mitazamo ya Wengine kwakuwa hayo ni kwa muktadha wao hata kama hawaakisi uhalisia
 
shetani ni nani? na kwanini shetani anaitwa shetani? nasikia kua lucifer maarufu kama angel of light sura yake sio hiyo mbaya na ya kutisha kama yule predator wa kwenye movie ya shwaznigger otherwise tutakua tunadanganya na mapicha ya uongo ya shekh yahaya hussein.
Kazi kweli mkuu
 
HUKU KUTISHANA MAPEPO VIPI MKUU
maji.jpg
pata maji ya baraka woga utaisha
 
Back
Top Bottom