Ah ah ah ; yap bt kuna link na ile ya malango kule; moderator; angeziunganisha zote ingekua nzurNilitaka kukuita huku kumbe ulishatia neno...barikiwa!
Ahsante sana mshana.....Evelin salt hebu pitia huku
Sijachat naye ngoja nimtafute nw.Yeah tuendeleze, best yuko wapi? Hebu mwalike
Pale ni sawa na kwenda uarabuni halafu ulete taratibu zako!hukawizwiAhsante sana mshana.....
Naomba kuuliza, mfano kwenye nyumba za kupanga, unaingia ila mwenye nyumba kishafanya yake mara amehifadhi majini na maushirikina humo humo hiyo nyumba unaitakasa vipi?
Kuna nyumba niliwahi kukaa, nimekaa siku kadhaa nalala fresh tu siku nilivomwaga chumvi ya baraka uwiii nilikoma ni mauza uza tu, siku hiyo nililala kumi na moja alfajiri, kesho yake mchana ni mauza uza aagrrr nkabeba vinguo vya kuvaa kazini nikahamia kwa watu
Amen mtumishi wa MunguYesu amezaliwa kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Na Roho mtakatifu ni Mungu.
Mariam aliku bikira na ndio maana joseph aliposikia mariam ana mimba alitaka kumuacha kwa siri sababu mimba haikua yake lakin aliambiwa usimuache mkeo sababu amebeba mimba kwa uwezo wa Roho. Rudi kusoma ktk mathayo. 1: 28-25 halafu urekebishe hapo juu. Kitu kingine mtoto akiwa tumbon damu inakua ni ya baba na si ya mama.
Kwahiyo damu ya mariam haikuingia kwa Yesu. Kwahiyo Yesu anadamu ya Mungu Roho mtakatifu.
Damu yake tunasema haina hila wala mawaa. Ndio maana tunaitumia hata ktk kujitakasa sisi na kuitakasa ardhi. Bwana Yesu asifiwee. Wote tuseme Amen
Asante sana Mshana,hili somo ni pana sana na ni nzuri sana ukilielewa,kuhusu nyumba za kupanga tumepewa mamlaka ya kumiliki ardhi kwa hiyo popote unapoishi unapamiliki wewe kama uko kiimani kweli lazima uitakase ardhi ile na kuiombea toba maana hujui waliopita hapo au mwenye hiyo nyumba aliweka maagano gani na ardhi hiyo na ni kweli kama kuna maagano ambayo ni kinyume na mpango wa Mungu utakua umetangaza vita lkn mwenye imani anashinda.Pale ni sawa na kwenda uarabuni halafu ulete taratibu zako!hukawizwi
...Mara nyingi kwa wale waamini ni kujikabidhi tu mikononi mwa Mungu mkuu...japo atajua tu huyo mwenye mji wake na visa havitaisha
Ah ah ah ah nacheka kama mazuri pole;Ahsante sana mshana.....
Naomba kuuliza, mfano kwenye nyumba za kupanga, unaingia ila mwenye nyumba kishafanya yake mara amehifadhi majini na maushirikina humo humo hiyo nyumba unaitakasa vipi?
Kuna nyumba niliwahi kukaa, nimekaa siku kadhaa nalala fresh tu siku nilivomwaga chumvi ya baraka uwiii nilikoma ni mauza uza tu, siku hiyo nililala kumi na moja alfajiri, kesho yake mchana ni mauza uza aagrrr nkabeba vinguo vya kuvaa kazini nikahamia kwa watu
Hata sikua nakemea, nilikua najiombea ulinzi mahali hapo, yani badala ya ulinzi nitapata mauza uza.... Siku nimerudi hiyo nyumba nilirudi na gari kubeba vitu vyanguAh ah ah ah nacheka kama mazuri pole;
Ni hivi kwa ulewa wangu mdogo; ww ulimwaga hiyo chumvi na kuanza kekemea.
Hujui hayo madudu yalii ingiaje hapo. Inawezekana kabisa hayo madudu yamekaa kwa haki kabisa hapo.
Sasa kama yameingia kwa haki Huwez kuyakemea na yakatoka kiivyo unavyo waza.
Ktk ulimwengu wa roho kuna sheria; na lazima ufuate sheria.
Lazima ufuate utaratibu. Hapo jua kuwa ardhi ina haki na hicho kitu.
Cha kwanza kabisa; lazima ujitakase wewe na utakase hiyo ardhi.
Cha pili hiyo chumvi wakati unaimwaga ungekuwa una omba toba( maombi ya toba) sababu zamani Makuhan walivyokuwa wanaomba toba walikua wana tumia chumvi.( chumvi ya agano)
Ukiomba toba unamruhusu Mungu aingilie kati awatoe hayo madudu na aingie mwenyewe.
Katika toba utukufu wa Mungu unashuka; katik toba Mungu anakupigania; katika toba Mungu ana toa uhalali wa shetan na anakaa yeye.
Katika toba unapata ulinzi.
Toba ni kujishusha mbele za Mungu.
. kwa uchache ni hivyo
Sana jamani mtusaidie na sisi tupone. Mbarikiwe sana na Mungu wetu.Nahisi huu uzi tuufanyie kaz again. Bado vingi hatuja ongeza
Ah ah ah ah ah kwahiyo ukahama nyumba; nimecheka hapa; nyumba za watu hiz zinatupa tabu sana.Hata sikua nakemea, nilikua najiombea ulinzi mahali hapo, yani badala ya ulinzi nitapata mauza uza.... Siku nimerudi hiyo nyumba nilirudi na gari kubeba vitu vyangu
Ndio maana najaribu mno kuwa modest, nisije kufundisha vitu vibaya kama nilivyofikiriwa vibaya kwenye mada za kishirikina. .pls nitakuomba urejee ukiwa gadoMhhhhhhhhh bro; hiv unajua unayofundisha humu kuna watu wanayachukua.
Kutakasa ardhi kesho kutwa had nijipange vizur; cz somo gumu kidogo.
Mungu atupatie nguvu
Ndio maana najaribu mno kuwa modest, nisije kufundisha vitu vibaya kama nilivyofikiriwa vibaya kwenye mada za kishirikina. .pls nitakuomba urejee ukiwa gado
Mimi ardhi/nyumba huwa natakasa mwenyewe maana simwamini mtu