Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,675
- 3,246
Mambo yote yanaanzia ktk ulimwengu wa kiroho ndio yanajihirdhisha ktk ulimwengu wa kimwili.Kuna ulimwengu wa roho ulimwengu usoonekana ndio hufanya kazi kwenye mambo kama haya na ndio huo ambao kwa tafsiri nyingine ni hiyo
Ardhi ina haki ya kudai kukumiliki sababu ya vitu vingi vilivyofanyika( kafara mfano) maagano yanayofanyika na familia mtaa au mji au kijiji. Haijalishi hujahusika lakin ardhi ya mahal pale unapoishi na ww umekua included.
kwahiyo unaweza omba kwa Mungu na Mungu asijibu maombi yako sababu Mungu ni wa haki.
Ardhi itasema nina haki ya kummiliki huyu mtu. Na Mungu atakaa pembeni had pale utakapo nyinyekeza kwa Mungu ukiomba toba na Mungu akairidhia hiyo ardhi Mungu atasikia maombi yako.
2nyakat 7:14. ( ndipo macho yangu yatambuka na masikio yangu yatasikiliza maombi ya watu waombao mahali hapa. ( ukianzia 7 mstari utaona inasema" Ikiwa watu wangu watanyinyenyekeza na ..........)) Tunaona Mungu anataka tuombe toba.
Toba maana yake inampa uhalali Mungu kuingilia kati tena ktk sehemu aliyokaa shetan na Mungu akatake control na kuanza upya na ww ktk hiyo ardhi.
Ndio maana nikasema ardhi nayo inakua na haki ya kudai kukumiliki ili kutoa ule uhalali omba toba kwaajili ya ardhi.
Ukiiponya ardhi vitu vingi sana vitafunguka ktk maisha yako sema hatujui jins ya kuomba toba au kutakasa ardhi