Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Ibada za kutakasa ardhi/makazi

Ukiomba toba unamruhusu Mungu aingilie kati awatoe hayo madudu na aingie mwenyewe.

Katika toba utukufu wa Mungu unashuka; katik toba Mungu anakupigania; katika toba Mungu ana toa uhalali wa shetan na anakaa yeye.

Katika toba unapata ulinzi.
Toba ni kujishusha mbele za Mungu.
. kwa
 
Mkuu, unadhani kuwa kiongozi wa dini ndo kuwa na uwezo wa kufanya mambo hayo?? La hasha! Kwa mtazamo wangu na imani yangu naamini kuwa kila binadamu was born divine (hapa naongelea kila roho ya mwanadamu)...
Mkuu nimepata kitu hapa asante
 
Tarakilishi watumishi wa zamani ndo walitumia sadaka kadri MUNGU alivyoelekeza,walio wengi ni kujitajirisha tu na majumba na magari,kuna mtumishi mmoja huwa anapiga kabisa simu,anakwambia nahitaji hela nimlipie mwanangu ada naomba unisaidie ndo iwe sadaka yako,jamani ni sawa hii.?yani mtu unakwazika sana.unakuwa mzito hata kwenda kwenye ibada maana utakutana na huyo mtumishi,na alikuomba hela haujampa.
Hama hilo kanisa haraka, watumishi wa zamani walihitaji hela za kuwatunza maana waliishi kanisani hapo hapo bila shughuli nyingine, na kilichofanya waishi kanisani bila shughuli nyingine ilikuwa nikuishi katika utakatifu Ili wawe karibu na Mungu muda wote na walifanikiwa kweli maana waliombea Nchi zao,

watu na maswali yao ya kiroho yalijibiwa na watu wengine wao walitumia muda mwingi kufanya Kazi na watu wakuwaombea wakiwa watumishi walioishi kanisani hata wake zao na watoto hatuwaoni ila tunawaona wao kama maisha yao wakiwa wameyatoa kwa Mungu, na makanisa hayakujengwa na wao ila serikali zao kwaajili ya watu wao wapate sehemu za kumuomba

Mungu na mwelekeo wa mataifa yao na ndo maana sadaka watu hawakulazimishwa kutoa Wala kujua mtu anatoa kiasi gani maana hizo sadaka zilitumika kwa wahitaji zaidi na wengi walikaa milangoni mwa makanisa wakiwa wanajulikana matatizo yao, Sasa watumishi wa hivyo hata kutakasa ardhi haikuwa shida maana walitakasa Nchi nzima wakati wote na mwovu akiingia au mtu mbaya alijulikana haraka kwenye jamii na kuonywa aache la sivyo Mungu alimshughulikia kweli kweli.
 
Hilo somo gumu kama kiroho huko vizuri.utaona kama masihala,lakini ni jambo zuri sema changamoto iliyopo ni makuhani wetu na.mashekh uwezo wao wa kupambana katika ulimwengu wa roho ni mdogo sana.hawatofautiani na sisi.wengine wapo kwenye hizo huduma sio kwa wito kama ilivyokuwa kwa Walawi lakini wapo kimaslahi badala ya kuwa wapakwa mafuta wa Bwana.
Bwana Yesu Kristo alimaliza yote pale msalabani. Mwanadamu anachotakiwa kufanya Ni KUOKOKA tu.
 
Ukiomba toba unamruhusu Mungu aingilie kati awatoe hayo madudu na aingie mwenyewe.

Katika toba utukufu wa Mungu unashuka; katik toba Mungu anakupigania; katika toba Mungu ana toa uhalali wa shetan na anakaa yeye.

Katika toba unapata ulinzi.
Toba ni kujishusha mbele za Mungu.
. kwa
Asante Sana Mshana Jr
 
Ibada na dua hizi husaidia mno kuyakinga makazi yako na nguvu hasi zozote zunazoelekezwa mahali hapo au ambazo tayari zipo
 
Back
Top Bottom