Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,668
- 860,971
- Thread starter
- #161
CC : chama mpangala
Mkuu nimepata kitu hapa asanteMkuu, unadhani kuwa kiongozi wa dini ndo kuwa na uwezo wa kufanya mambo hayo?? La hasha! Kwa mtazamo wangu na imani yangu naamini kuwa kila binadamu was born divine (hapa naongelea kila roho ya mwanadamu)...
bro mshana jr tatizo walio wengi awajajua kutofautisha uchawi na uchamunguSawa lakini naamini huo sio uchawi
Hama hilo kanisa haraka, watumishi wa zamani walihitaji hela za kuwatunza maana waliishi kanisani hapo hapo bila shughuli nyingine, na kilichofanya waishi kanisani bila shughuli nyingine ilikuwa nikuishi katika utakatifu Ili wawe karibu na Mungu muda wote na walifanikiwa kweli maana waliombea Nchi zao,Tarakilishi watumishi wa zamani ndo walitumia sadaka kadri MUNGU alivyoelekeza,walio wengi ni kujitajirisha tu na majumba na magari,kuna mtumishi mmoja huwa anapiga kabisa simu,anakwambia nahitaji hela nimlipie mwanangu ada naomba unisaidie ndo iwe sadaka yako,jamani ni sawa hii.?yani mtu unakwazika sana.unakuwa mzito hata kwenda kwenye ibada maana utakutana na huyo mtumishi,na alikuomba hela haujampa.
Bwana Yesu Kristo alimaliza yote pale msalabani. Mwanadamu anachotakiwa kufanya Ni KUOKOKA tu.Hilo somo gumu kama kiroho huko vizuri.utaona kama masihala,lakini ni jambo zuri sema changamoto iliyopo ni makuhani wetu na.mashekh uwezo wao wa kupambana katika ulimwengu wa roho ni mdogo sana.hawatofautiani na sisi.wengine wapo kwenye hizo huduma sio kwa wito kama ilivyokuwa kwa Walawi lakini wapo kimaslahi badala ya kuwa wapakwa mafuta wa Bwana.
Asante Sana Mshana JrUkiomba toba unamruhusu Mungu aingilie kati awatoe hayo madudu na aingie mwenyewe.
Katika toba utukufu wa Mungu unashuka; katik toba Mungu anakupigania; katika toba Mungu ana toa uhalali wa shetan na anakaa yeye.
Katika toba unapata ulinzi.
Toba ni kujishusha mbele za Mungu.
. kwa