mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Amefanyia vibaya sana! Sasa hapa ndo kapata faida gani? Halafu na wewe ulipiga picha huyu uoni ka ni unadhalilishaji huyu mama?! Ungekuwa wewe ungependa uwekwe wazi wazi hivi mtandaoni?
Nadhani kafanya hivo kufikisha ujumbe bila chenga maana hata humu JF haiyumkini kuna Wanaume wenye tabia za kishenzi kama hizi kwa wake zao