Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,441
Katika kumbukumbu zangu inaonyesha kwamba tarehe kama ya leo ( 26/10 ) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa binadamu Muhimu sana kwenye siasa za Tanzania , Mpigania Uhuru aitwaye Godbless Lema.
Kwa niaba ya makamanda wote wa hapa jf na kwingineko namtakia siku njema sana ya kuzaliwa kamanda huyu aliyejitolea uhai wake ili kuleta ukombozi kamili , Mungu ampe maisha .
Kwa niaba ya makamanda wote wa hapa jf na kwingineko namtakia siku njema sana ya kuzaliwa kamanda huyu aliyejitolea uhai wake ili kuleta ukombozi kamili , Mungu ampe maisha .