the sister
Member
- Oct 25, 2018
- 93
- 185
- Thread starter
- #401
Chagua kitu roho inataka mama.
Wanaume wafupi, wembamba siyo kabisa. Japo vinajua kupenda na kumganda mtu kama ruba.

Chagua kitu roho inataka mama.
Wanaume wafupi, wembamba siyo kabisa. Japo vinajua kupenda na kumganda mtu kama ruba.

I see.Kuhusu sketi tunashona aina mbalimbali, za shule, kiofisi, hotelini n.k! Tunao mafundi wabobezi katika ushonaji wewe pia unakaribishwa!
vigezo utaviondoa vyote tu, Utamuomba Mungu niletee yeyote tu, endelea ku buy time tu, utakuja nyooka! ...Ndio nitamkataa maana hajameet vigezo vyangu
Siwezi kuolewa na mwanaume asienivutiavigezo utaviondoa vyote tu, Utamuomba Mungu niletee yeyote tu, endelea ku buy time tu, utakuja nyooka! ...
Kamwe usiolewe na mtu asiye kusisimua ...utapata shida maisha yako yote ya ndoa. I do agree with you in some points na endelea kusisitiza Bora uchelewe kuolewa then umpate Mr Right. Mungu hujibu maombi stick on prayer he will fulfill your wishes.Siwezi kuolewa na mwanaume asienivutia
Tunajua kazi acha kabisa, utujaribu hutajutia. We achana na wajaluo huko njoo kwa mpare akupe vitu adimu.Hahahaaaaaaaa!!! Eli niwache bwana, wafupi alafu sasaaaaaa...........![]()


Tunaenda na bajeti, sio ubahili. Hata wachaga wameanza kuiga mbinu zetu za kiuchumi ujuwe.Hahahaaaa!! Mmezidi ubahiri bwana nk.![]()
sawa binti, muombe Mungu sana, maana kuna wenzenu wanaolewa hataa kumposti mume wake hawezi, anaona aibuSiwezi kuolewa na mwanaume asienivutia
Njoo tubutuane hapa, japo uzee ushakuja lakini sikushindwi kabisaEli nakubutuaaaaa!



Mdogo wangu mwingi wa habari, ana habari nyingi, ujana mwingi, hamtawezana.Hahahaaaa!! Namtaka mdogo wako, kama yuko kama wewe lakini, kama sio basi simtaki.
Hahaaaa sitaki yanitokeesawa binti, muombe Mungu sana, maana kuna wenzenu wanaolewa hataa kumposti mume wake hawezi, anaona aibu
Mkiingia hedhi wengi wenu mnawehukaHahaaaa sitaki yanitokee
DadeqMkiingia hedhi wengi wenu mnawehuka

Are you smoker?Dadeq![]()
Siwezi kufikia stage hiyosiku ukiikata tamaa kabisa na ukaitaji bola mwanaume naomba unitag
endelea kuchagua sasaSiwezi kufikia stage hiyo