Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
i am no muslim ni mkristo niliyefunguka, zamani nilikuwa kama wewe ila sasa nimefunguka. nyinyi wakristo ndio wale mnaosherehekea kila baya linalofanywa na israel kiling children na kushangilia....
ni sawa na wale waislam wanaosherekea kila baya linalofanywa na kikundi cha ghasia cha kiislam/kiarabu e.g boko haram, al shabab na kushangilia....
ulivyokuwa chizi unayo internet na kushindwa kugoogle na kueleimika, mtumwa wa fikrwa wewe, ukiambiwa hata the tru jesus alikuwa blacks huwezi kubali.....
many bad things are done in this world with these so called asheknazi jews lakini yote hata ukigoogle na kuyajua huwezi kubali....
nenda israel ukafukuzwe kama mbwa. tatizo wakristo weng mna mawazo mgando kuhusu israel mnaiabuduu, ungejua jews they dnt gv a damn about any human bein but themselves.
....iwaendee na wajahidina walio na mawazo mgando kuhusu arabs and see them as their little gods.
---- these stupid religion amabazo zimedumaza mawazo yetu watu weusi.
Kiranga FaizaFoxy
Nani kakuita weye Muislamu! Weye ni mfuasi wa lucifer ambaye anachuki na Israel. Period. HAKUNA KITU KAMA MKRISTO NILIYE FUNGUKA, you either BELIEVE IN JESUS AS GOD or you don't. You either Bless Israel or you don't.
Halafu peleka ngonjera zako Msikitini na kwa GOD HATERS.
Eti bless Israel my foot, yani mtu kumuamini ni Mungu ni lazima ai-bless Israel??? Kama namuamini Mungu nasi-bless Israel nakuwa mfuasi wa Lucifer?? Una akili ndogo kuliko mbegu ya haradani!
Kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia yote yanayofanywa na jeshi la Israeli kuua watoto wadogo wasio na hatia?? kwahiyo yesu huko mbinguni anafurahia waafrika walivyobaguliwa na kuteswa na wengine kuuliwa na wayahudi pamoja na polisi wa israeli??? sitaki kukubali yesu analikubali hili!!
Mungu yupi unayemuabudu wewe??? Inawezekana ji-mungu unaloliabudu ni li-mungu linalopenda na kufurahia watoto wadogo wauliwe na jeshi la Israeli, au li-mungu unaloliabudu halina tofauti na li-mungu linalo-ruhusu wauaji wateke Westigate gate ya Kenya na kuua watu ovyo!
By YouTube i am no muslim ni mkristo niliyefunguka, zamani nilikuwa kama wewe ila sasa nimefunguka. nyinyi wakristo ndio wale mnaosherehekea kila baya linalofanywa na israel kiling children na kushangilia....
ni sawa na wale waislam wanaosherekea kila baya linalofanywa na kikundi cha ghasia cha kiislam/kiarabu e.g boko haram, al shabab na kushangilia....
ulivyokuwa chizi unayo internet na kushindwa kugoogle na kueleimika, mtumwa wa fikrwa wewe, ukiambiwa hata the tru jesus alikuwa blacks huwezi kubali.....
many bad things are done in this world with these so called asheknazi jews lakini yote hata ukigoogle na kuyajua huwezi kubali....
Sio waafrika wote wana nyanyaswa it depends unaishu gani huko wako wanaoenda wengi hija na wanarudi kila mwaka kuna safari za hija watu huenda na kurudi wapo pia wanaoenda kusoma na kurudi salama. Ni sawa tu na South Afrika wasivyopenda wageni na kuwaua na wana waua sana tu waafrika wenzao mbona hamuwasemi.
Nani kasema ni sawa yalifanyika South Africa?
uovu ni uovu unafanywa na yoyote, uovu haumpendezi Mungu wala haijalishi ni dini gani au taifa gani! Kinachoshangaza ni mtu kuona sawa uovu na ukatili unaofanywa na jamii nyingine ni sahihi waislam kuhusu kutetea vikundi vya mauaji al shabab au boko haram, au wakristo kutetea uovu unaofanywa wa-israeli kuua watoto wadogo. sidhani kama mungu wanayemuabudu au mitume yao iliyotumwa na huyo Mungu wao anachekelea na kufurahia!
Hayo ya South pia mmeyakemea humu?
Naomba Wakristo wanielimishe: kwa nini unaona ukiwa Mkristo una wajibu wa kuisapoti Israeli? Waisraeli ni Jews ambao mnasema ndio waliomwua Yesu, mungu wenu, au mtoto wa mungu wenu. Sasa inakuwaje mnawapenda watu hawa? It does not make sense to me. Could someone educate me?
Kwahiyo unadhani kuwa waisrael ni wakristo??!!Mimi ni MKRISTO na ninaamini katika KRISTO but kuhusu Israel pls count me off!! This Israel thing is full of shit wakubali wakatae huo ndo ukwel!!
Wawe ni wakristo au waislamu, mauaji wanayoyafanya Gaza hayakubaliki.Kwahiyo unadhani kuwa waisrael ni wakristo??!!