I real miss this man

I real miss this man

Naondoka mie tumeleta chuma hiki.
Pale nilipochoka mie yeye sasa anakwenda kwa kasi.
Anazo nguvu za kutosha kuliko mie.
Na mlikuwa mnasema mie mpolempole hivi. Sasa mabadiliko ni kuleta mkali.

Na ameanza kutema checheeeeeeeeeeeeee (In JK voice)

Shukrani sana kwa kutuletea huyu wa sasa!
Na kweli anatema cheche!
 
Masanja , masanja! nepotism ipo kila wakati!... sema kwa vile wewe ni masanja!...

hahahaha mkuu..Ngosha anatuumiza wote ndugu yangu. Mimi nitakuwa na shida kama Ngosha akikaa kimya wakati hawa wateule wake wanaandamwa kwamba hawana ma-documa!
 
Back
Top Bottom