Aise wewe kama mimi.
i want a girl atleast anaelewa thamani yake na mwili wake na yeye ni nani sio kucha hana kazi umbea ujinga ujinga tu na saloon kwangu no maana thanks GOD my heart huo upuuzi hana
Kila mtu huwa na vision zake.
Mimi natamani sana kuwa na mwanamke atakae nielewa.
Wanawake wengi ndivyo sivyo. I need a woman who upstairs yuko poa.
Katafute sokoni...
Tumia lugha nzuri wewe, janamke ndio nini? huna mama wewe au dada zako au shangazi zako? au na wewe ni janaume? hata bibi zako pia ni janamke au binti az ndugu zako kaka zako,wajomba zako jirani zako, heshima kwa mwanamke bila huyo janamke ungekuwa jf unatoa lugha zako chafu?Unakuta janamke ndio kila kitu hakuna hata changamoto. La nini sasa hilo?
Yyt atakae kua greatest kwake ajibebeshe tu..
Tumia lugha nzuri wewe, janamke ndio nini? huna mama wewe au dada zako au shangazi zako? au na wewe ni janaume? hata bibi zako pia ni janamke au binti az ndugu zako kaka zako,wajomba zako jirani zako, heshima kwa mwanamke bila huyo janamke ungekuwa jf unatoa lugha zako chafu?
Tumia lugha nzuri wewe, janamke ndio nini? huna mama wewe au dada zako au shangazi zako? au na wewe ni janaume? hata bibi zako pia ni janamke au binti az ndugu zako kaka zako,wajomba zako jirani zako, heshima kwa mwanamke bila huyo janamke ungekuwa jf unatoa lugha zako chafu?