I miss you

I miss you

Joined
Apr 10, 2013
Posts
71
Reaction score
14
Jaman Wana Malove Nafurah Kuwakuta Bado Mpoo Na Mnaendelea Vizur, Baada Ya Mda Mrefu Kidogo Kupotea Bt 4now Nmerudi Tenah,kwa Wale Mnao Patwa Na Mikasa Ya Mapenzi Polen Sana, Pia Hongeren Kwa Wale Mambo Yanawaendea Vizur Ktk Mapenzi.NAWAPENDA JAMAN
 
ahsante sana,na wewe pole kwa masahibu ya hapa na pale
 
Afu mi nimekununia ujue. Jana ulisema mie sifai. Na uje na iPad ya mtoto mwakalifti jr

cc Paw, JERRY msigwa


Ha ha haaa unajaza watu sio!!!!!
Acha waje ndio nikiwashe sasa!!!!!
Paw alitangaza wazi kuwa ukipigwa pini wewe ndio naye kapigwa pini ila hilo wala halihusu hapa yaaani ujitie wazimu kisa una kampani????!!!
 
Last edited by a moderator:
Weeh endelea tu. Mi nakudeku. Hata shimo liwe kama la barrick, nafukia dk 5 manake paw ni dereva wa kijiko.
Ha ha haaa unajaza watu sio!!!!!
Acha waje ndio nikiwashe sasa!!!!!
Paw alitangaza wazi kuwa ukipigwa pini wewe ndio naye kapigwa pini ila hilo wala halihusu hapa yaaani ujitie wazimu kisa una kampani????!!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom