Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
Sawa Lizzy,
ngoja nikapumzike hata kama muda wa kulala bado....Ila siku nyingine sema tukuelewe...Vinginevyo babu anahagaika kuwatafuta mnaowalilia!!
babu iko penda jukuu zake!
Sawa Lizzy,
ngoja nikapumzike hata kama muda wa kulala bado....Ila siku nyingine sema tukuelewe...Vinginevyo babu anahagaika kuwatafuta mnaowalilia!!
afadhali umemuelewesha Babu DC alishawaza mbaaaali...
babu dc
unapenda kung'olewa ndevu kama babu ODM?
Wajukuu wanataka wakung'olee
Ohhh dearest. . .Umekanusha na kujijibu mwenyewe.....kumlilia umpendaye ni kumlilia tu kwasababu yeyote ile,hukuzaliwa nae ila unampenda!
Dearest,sijaongelea ku-miss kisicho chako,binafsi siwezi lilia kisicho changu pia,huo utakuwa uwazimu,kwenye mapenzi hakuna kitu kama umekuwa sana au ulishapitia sana,as long as you are in love, you will have to experience different situations which will make you react in certain unpredictable ways.....hakuna umwamba au uroho ngumu kwenye hisia za mapenzi!
Yes Amyner...i love too much maybe....lol
Babu bwana. . .Sawa Lizzy,
ngoja nikapumzike hata kama muda wa kulala bado....Ila siku nyingine sema tukuelewe...Vinginevyo babu anahagaika kuwatafuta mnaowalilia!!
ujue mie naishi kihesa
sasa kukatiza milima ya wilolesi bila msuba
inakuwa ngumu sana
hapa iringa kuna duka maarufu
panaitwa kwa pera
nikivuta nikiwa hapo
najiona kama niko kariakoo kabisa
raha kweli
Ohhh dearest. . .
Sasa kama ni wangu and he is all well and happy why would I have to cry for him jamani? Kwasababu tu kaenda mbali kwa muda? Kama ni hivyo ntamkosa, na nnaweza nikasikitika ila sitolia kwasababu najua muda ukifika tutakuwa pamoja.
mwaya its good to love unconditionally... Only that when u love too much u'r bound to get dissapointed...mi hapo tu ndipo panapo nirudishaga nyuma..
Amyner,love much or less,you are likely to be dissapointed....give it your best,if its not working,learn,lift your head high and tell yourself that the best is yet to come....life has to go on! Usirudi nyuma, wala kutoa upendo kidogo kwa kuogopa kuwa dissapointed,ukiachwa utakuwa dissapointed kwamba hukujitahidi kupenda vizuri!:juggle:
i'll try not to hold back dear...ila with caution!
.....i miss the old me, i miss us, i miss streetdreaming, niggers get lonely too.
Hehehe. . pole. Umepata mtu wa kuupuliza?
...mnh, "i have the right to remain silent as anything I dare to talk openly in jamiiforums may be used against me by the great thinkers..!"