Wana Jf nimemis sana PJ sijamuona humu kwenye uwanja wetu mida sasa yeyote anayejua taarifa zake aniwakilishie...najaribu kumtafuta kwa simu hapatikani..ni jambo jema wana fj kujualiana hali...miss you so much PJ...asanten nawakilisha...
Kuna haja ya kujua huyu gwiji aliko, maana hata majukwaa mengine haonekani.
Nani ameshafariki?Hivi watu waliokwisha fariki huwa ID zao hazifutwi?
mi niko naye hapa kasema yuko bize sana atakuwa hewani tu..tuwe nasubira.
Arushaone njoo huku msaada
Nani ameshafariki?
Pearl hayupo
Cheusimangara kapotea ...
Klorokwin kapotea
Chrispin sijui yupo
hata haieleweki vile
.....
and you too........kwa nini lakini..........
cc: bht.... NGULI.... Teamo... Bigirita..... MwanajamiiOne.......@LD....@GY.... Kimey.......@JS.....@klorokwin..... Masanilo...... fidel.. WiseLady... KakaKiiza..... Asprin... Kaizer..... PakaJimmy..... Mwita Maranya..... Derimto....... Ncha......
wote nyie mnafahamu kabisa tulipotoka........hebu semeni chochote na moyo wangu utulie.........