Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Lizzy mbona unakuwa mkali banaa?? Au na wewe una ukwasi?Sasa unajitangaza hapa ukitegemea huruma ama?
If you miss sex, go and have sex.Hamna haja ya kuhusisha ulimwengu.
Lizzy mbona unakuwa mkali banaa?? Au na wewe una ukwasi?Sasa unajitangaza hapa ukitegemea huruma ama?
If you miss sex, go and have sex.Hamna haja ya kuhusisha ulimwengu.
C'mon! am trying my best and with u quoting my posts at this time of the night, what else do I have to worry about?
Kumbe na wewe umewastukia eeh!Lizzy na klorokwin combination nzuri. Msisahau kunipa kadi siku yenu ya harusi.
Mbona nishajubu hilo siwezi kulitenda natafuta Girl Nioe
haha imekaa fresh hii hapo sasa hiyo game sijui itaamuliwa na nani?
Game ikija kwisha lazima uzito upungue...
Najihisi nipo overweight wakati sipo hivyo...
ushasikia kuoa ni kufukuza kipipi?
Duh! Mke ana faida Nyingi Mbona Kipipi hamu ya Kusex humtokea Mtu yeyote So Nikisema nimemiss Namaanisha Nahitaji na kwa Msisitizo Nahitaji wa Moja kwa Moja sina presha kwa Sana itachukua Muda gani lakini for me Nishafikisha Time za Kuoa so Sitaki Girl wa Kuzuga nae...kuoa sio kufukuza japo kufukuza ama mlengwa kujiondokea mwenyewe kwaweza fuatia!! Wewe umepata hamu ya sex ndo maana unataka 'girl uoe' na sio kwamba unahitaji 'mke' thats why nikakuuliza hilo swali! Ushasikia watu wanaooa for the wrong reasons?? Matokeo yake huwa ni nini?? Gusa unate kijana...
Duh! Mke ana faida Nyingi Mbona Kipipi hamu ya Kusex humtokea Mtu yeyote So Nikisema nimemiss Namaanisha Nahitaji na kwa Msisitizo Nahitaji wa Moja kwa Moja sina presha kwa Sana itachukua Muda gani lakini for me Nishafikisha Time za Kuoa so Sitaki Girl wa Kuzuga nae...
Najua hayo Mambo ya kuwa Ukigusa unanata Najfahamu hilo, Vipi Wewe kwani unanatisha?
Lizzy mbona unakuwa mkali banaa?? Au na wewe una ukwasi?
Lkn wanataka kimoyomoyo, siyo?
Kaka fanya fasta hzo hazikawii kuamia nyuma
Muonee wewe.
Tatizo la avatar ni kwamba you cant tell precisely the gender of avatar holder, unaweza ukadhani Lizzy ni mrembo mzuri kumbe ni dume la mbegu. you never know anaweza akawa Liziwani
oi Lizzy mbona u mkali hivyo...