I miss being in relationship

I miss being in relationship

Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).

The same yani dah wat a coincidence,
 
Sitaki kuamini kama mpaka sasa hujapata ulichokitaka,.!!

Anyway Kama bado unajua cha kufanya.
 
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).

Ni PM namba yako plz
 
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout kuzinguana sometimes. .hahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).
kuchapwa makofi kidogo.
 
I miss being bachelor 😀😀 kufanya nacho kitaka sizinguliwi, holiday kila mwaka Spain, Italy, dubai, Canada, sasa nipo kwangu nalea vijana☺

Sifa za kijinga
 
Wanaume wa chips siku izi mnatutia aibu...Mtoto mzur amejieleza kwa mafumbo haja yake badala ya kumalizana naye kimya kimya mnamuacha anaendelea kujibu comment hapa......! Enz zangu mm....! I wish I could turn back the tym... Kwa kule upareni ukiacha embe dodo kama hili wazee wanakupa laana.

Hahahahahaaaa nimecheka kama chizi.
Hii ndio raha ya JF bwana.
 
Wanaume wa chips siku izi mnatutia aibu...Mtoto mzur amejieleza kwa mafumbo haja yake badala ya kumalizana naye kimya kimya mnamuacha anaendelea kujibu comment hapa......! Enz zangu mm....! I wish I could turn back the tym... Kwa kule upareni ukiacha embe dodo kama hili wazee wanakupa laana.

Ha ha.ha. Umeuwa
 
Back
Top Bottom