I miss being in relationship

I miss being in relationship

mkuu GHIBUU umesema upo in relation wewe

ma pm pm pm ya nin:redface::redface:
 
Last edited by a moderator:
Sorry kua single haimaanishi umekosa mtu...pia yanaweza kua ni maamuzi..au pumziko la muda flani ukiniona live nafikiri utatengua kauli yako.
Kama huna majibu ya kun.. basi aliyejuu ashukuriwe. Ila ni vyema ukaondokana na majibu ya mkato maana akinababa huwa tunawakimbiaga na baadaye mnalia ati nimekuwa single, mara umeniharibia maisha, umenichezea etc
 
Kama huna majibu ya kun.. basi aliyejuu ashukuriwe. Ila ni vyema ukaondokana na majibu ya mkato maana akinababa huwa tunawakimbiaga na baadaye mnalia ati nimekuwa single, mara umeniharibia maisha, umenichezea etc

Daaaah naona kama unausingizi ukalalee sijui..maana sidhani kama umesoma vizur..kwan umeona jibu baya hapo baba angu mpaka utoe ushaur wote huu..aiseeeeee 😯😯😯
 
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).

Wadau msidanganyike, kuna mwanaume nyuma hii ID ya lilimashy
 
Ingependeza ukatoa na sifa zako basi mrembo?...mie nipo single nataka nichukue fursa.
 
Kwa ID za JF hilo sio ajabu. Halafu kwa majibu yenye kiburi kama haya unategemea nani adumu na wewe ? Anyway, karibu chamber - a.k. a pm.

Stakiiiii umeniuziiii waiiiii 😈😈😈 umefanya mpaka washauri nasaha wasioelewa mada waje waanze kunipa somo ambalo siliewi..sijiiii akuuu
 
Hahaha, nataka nimtoe out huyu shoree, yupo bored sana for longtime 

hahahahah mkuu shemeji umuombe ruhusa kwanza

halafu kama lilymashy ni wa kiume hahahahah katiba na dini havijaruhusu bado
 
Last edited by a moderator:
Wadau msidanganyike, kuna mwanaume nyuma hii ID ya lilimashy

Yan umenichekesha afu nikakuonea huruma pia kukujibu......asa huyo mwanaume umemuona wap kama uliona unadanganyika si ungepita kimya kimya tuu kwan lazima udondoshe comment hapa ndugu yangu.... na huko nyuma umepachunguliaje kama sio na ww mkaaji nyuma..aiseee usinipanikishe mchana mchana endelea na safari zako arif
 
Daaaah naona kama unausingizi ukalalee sijui..maana sidhani kama umesoma vizur..kwan umeona jibu baya hapo baba angu mpaka utoe ushaur wote huu..aiseeeeee 
Naenda kulala kwani Meseji senti
 
Back
Top Bottom