Mrejesho baada ya kutambua: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/983645-nahitaji-kupungua-uzito.html#post14815039umeshajirekebisha lkn baada ya yaliyokufanya uwe single?
Kuwa kwenye uhusiano ni jambo lenye kheri hasa ukiwa na mtu ambae unampenda na yeye anakupenda.
Kila mtu hufarijika kwa kiasi kikubwa kuona Kuna mtu nyuma yake mwenye kumjari.
Inauna sana kuona unavaa nguo hakuna mwenye kukuambia umependeza. Inasikitisha sana kuona hakuna mtu mwenye kukupa faraja pindi unapopambana na Ugumu wa aina yoyote. Lakini ni simanzi na majonzi pia kuona huna mtu ambae ni msiri wako, mtu unaeweza kujifunua kwake na yeye akajifunua kwako.
Mp means?
Mp means?
Hahahhahaa nimemic shoga anguuu
Duuuuh kua single ni shida saa ingine...yes unakua free at times but being with someone pia ina umuhimu wake.namiss kudeka,kuulizana uko wap, hangout na kuzinguana sometimes. .hahahahaaa (msipanic basi..i just say wat i fill maana kuna watu wana maushauri ya kuumiza roho).
Nimemic pia 😂😂😂😂😂
uwiii mi nmechoka wee umemiss!!!??? ingia tu ila usiingie kichwakichwa shoga
Kuna lily mwanaume?