Sonko Jr.
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 806
- 320
Yan umenichekesha afu nikakuonea huruma pia kukujibu......asa huyo mwanaume umemuona wap kama uliona unadanganyika si ungepita kimya kimya tuu kwan lazima udondoshe comment hapa ndugu yangu.... na huko nyuma umepachunguliaje kama sio na ww mkaaji nyuma..aiseee usinipanikishe mchana mchana endelea na safari zako arif
Sawa mshkaji