juma mpemba
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 4,227
- 7,552
Aahhh..namimi skubali...nlisoma MIT....Mimi nilisoma Malaysia,.
Aahhh..namimi skubali...nlisoma MIT....Mimi nilisoma Malaysia,.
Vipi unaweza kuhack JF?..Mimi nimegraduate MIT mwaka jana, ni software engineer. Kwa sasa ni intern Twitter!
Je kuna account yoyote ya twitter unataka niihack??
HahahaAahhh..namimi skubali...nlisoma MIT....
Naomba niseme ningekuwa IT mimi hata yule GOGOKI kule Twitter asingefua dafu....Nimeanza kwa umombo kwa title hapo juu. Nina degree ya uhandisi katika hii fani pendwa....
Nilikuwa mtu wa Mungu Sana wakati napiga security. Sasa katika eneo la ku compromise Akaunti za watu niliona natenda Dhambi.
Nawaza sana watu wanaodukuana.
Mimi sinauwezo wa kuhack hata Akaunti ya facebook. Achilia mbali kusoma message za watu kwenye simu zao.
Kubwa zaidi ni security ya mitandao hapa Tz iko unsecured 50++ percentage...
Nije na kaushauri...someni sana security maana ulinzi ni uhai..
Itakuwa NJOMBE Institute of KATERERO tuUniversity ipi Kati ya hizo:-
Universiti Malaya (UM) Universiti Kebangsaan Malaysia (UKM) Universiti Putra Malaysia (UPM) Universiti Sains Malaysia (USM) Universiti Teknologi Malaysia
Mbuzibee
Asante Mkuu njoo uichukue tu ikusaidie wewe. Waelewa waelewa tuMleta mada kama wazazi ndio walikusonesha pesa zimepotea bure kama ni serikali ilikusomesha pesa zimepitea bure kazi ya ku hack sio ya computer engineer ni ya Software Engineer yaani unatia hadi huruma hujui hata tofauti ya Computer Engineer na Software Engineer very sad .
Yaani wewe ni mjinga hadi basi degree yako unatakiwa kunyanganywa
MIT??? MHHHMimi nimegraduate MIT mwaka jana, ni software engineer. Kwa sasa ni intern Twitter!
Je kuna account yoyote ya twitter unataka niihack??
Mimi nilisoma Malaysia,.
Mimi nimegraduate MIT mwaka jana, ni software engineer. Kwa sasa ni intern Twitter!
Je kuna account yoyote ya twitter unataka niihack??