Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
what has love got to do with money?Huna hela wewe
(source: Tina Turner ? sina uhakika)
what has love got to do with money?Huna hela wewe
Am humbled!
Ujue hata mie nakulav sana maana ni mdogo wa fulani afu room mate wa Mwali
wala haiusu Husn,we mwache tu huyu mchuchu ,namlia nyomi iko siku ataingia 18 zangu,ujue nini Ambitious hivi kweli mtu akiingia anga zako na wewe umewekeza inakuwaje,si panachimbika mkuu?Mkuu Bishanga nao hapo Bwa'Nchuchu macho yamemtoka sijui ana hisa kwa huyu binti wa shule.
wala haiusu Husn,we mwache tu huyu mchuchu ,namlia nyomi iko siku ataingia 18 zangu,ujue nini Ambitious hivi kweli mtu akiingia anga zako na wewe umewekeza inakuwaje,si panachimbika mkuu?
sisi matajiri tuna vitengo maalum vya intelijensia.Ayaaaa weeee kumbe bepari mzima unadanganywa na kudanganyika kirahisi hivyo?
wala haiusu Husn,we mwache tu huyu mchuchu ,namlia nyomi iko siku ataingia 18 zangu,ujue nini Ambitious hivi kweli mtu akiingia anga zako na wewe umewekeza inakuwaje,si panachimbika mkuu?
BelindaJacob -anapenda michezo na mimi na mwanamke anayependa michezo damudamu ofcoz na lips zinachangia
Hata nami lips za Belinda, zinanitoa Udenda! (For the record; l am into Men)
Kwenu wachawi nini???? LOL
kwenye red sikuelewi mkuu,you mean kongosho is a....... embu dadavua tukuelewe.
wa kumtoa mshipa bishanga nani?hata yule bwana wa indefatigability (sadamH) alinishindwa itakuwa MMJ na hako kajembe kake? don't play with this number,kina kirefu hapa!
My pleasure......jioni ya hivi karibuni ntakualika togwa pale nyumbani halafu Mwali namfukuzilia mbali.
Wanywa togwa wewe?
Mi sijielewi. . . But i admire wote nadhani..
wacha kunidanganya, mie na Ricky unatupenda sawa?
Wakati siku ile ulinishusha kwenye pikipiki yako ukampandisha ricky.