foshizzle
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 374
- 147
Yap niko single humu bt ctafuti kwa sasa
Huna haja ya kutafuta. Just tamka
Yap niko single humu bt ctafuti kwa sasa
Sio siri wana cc kuna vitu ambavyo inawezekana vya ziada ambavyo mungu amemjaalia bujibuji vinafanya arefushe maisha yangu kwa kuwa na tabasam muda wote ninaposoma post na threads zake. Mungu kamjaalia kuwa na maneno mazuri na ujuzi wa kutumia tafsida inayoleta furaha kwenye kila neno lenye maudhi.... Mashaalah uzidishiwe kwa hayo na uendelee hivyo hivyo inshaalah
babe usinitishe!!!! ntakuachia mapacha mimi........ohooooooooooooo
which angle?
i was at home the whole day..
Sio siri wana cc kuna vitu ambavyo inawezekana vya ziada ambavyo mungu amemjaalia bujibuji vinafanya arefushe maisha yangu kwa kuwa na tabasam muda wote ninaposoma post na threads zake. Mungu kamjaalia kuwa na maneno mazuri na ujuzi wa kutumia tafsida inayoleta furaha kwenye kila neno lenye maudhi.... Mashaalah uzidishiwe kwa hayo na uendelee hivyo hivyo inshaalah
Dah watu wanabahati zao bwana..... haya muhusika umemwambia au ndo umeamua kumfungulia sredi apate ujumbe juu kwa juuuuSio siri wana cc kuna vitu ambavyo inawezekana vya ziada ambavyo mungu amemjaalia bujibuji vinafanya arefushe maisha yangu kwa kuwa na tabasam muda wote ninaposoma post na threads zake. Mungu kamjaalia kuwa na maneno mazuri na ujuzi wa kutumia tafsida inayoleta furaha kwenye kila neno lenye maudhi.... Mashaalah uzidishiwe kwa hayo na uendelee hivyo hivyo inshaalah
Dah watu wanabahati zao bwana..... haya muhusika umemwambia au ndo umeamua kumfungulia sredi apate ujumbe juu kwa juuuu
Santa Clous Mndengerekomerr x mass Bujibuji
mmhh. i caught you at the big people forum down there!!
Halafu nimegundua, Waarabu wengi sana ni Santa Clous lakini hawagawi zawadiHa ha ha.. Bujibuji umeshangaa au wamtakia mwenzio sikukuu njema..?
Upo????Sio siri wana cc kuna vitu ambavyo inawezekana vya ziada ambavyo mungu amemjaalia bujibuji vinafanya arefushe maisha yangu kwa kuwa na tabasam muda wote ninaposoma post na threads zake. Mungu kamjaalia kuwa na maneno mazuri na ujuzi wa kutumia tafsida inayoleta furaha kwenye kila neno lenye maudhi.... Mashaalah uzidishiwe kwa hayo na uendelee hivyo hivyo inshaalah